kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,475
katika kitu kinachoumiza zaidi ni kujua walikuwa na malengo gani hasa....!!!Sijawahi kuelewa lengo sasa la hayo yoote ni nini?
au kuna watu walikuwa wanawatafuta tu.....?
katika kitu kinachoumiza zaidi ni kujua walikuwa na malengo gani hasa....!!!Sijawahi kuelewa lengo sasa la hayo yoote ni nini?
Kama ameweza kuangalia prof uchwara akiiba pesa za cuf,nimeshamtoa ktk vita dhidi ya ufisadiWote tumeshuhudia kilichoitwa 'vita dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya'
lakini taarifa zilizojitokeza wiki hiii za kuwa kumbe 'baadhi ya watuhumiwa'
TID na Tunda na Rommy Jones' walilipwa shilingi milioni mbili' kila mmoja
ili tu 'kufanikisha usanii huo wa vita ya kupigana na madawa''
iwapo hizo taarifa ni za kweli....basi hii aibu ni kubwa mno kwa utawala huu..
Yoote hayo ili iwe nini?
wanajaribu ku achieve nini hasa?
Hela wanazotuhumiwa kupewa kina TID zilitolewa na nani na kutoka fungu gani?
Zile milioni 10 Kwa wabunge wapitishe ile sheriaSasa Magufuli ame aprove huu usanii?
Nasikia na wao wanalipwa pia kwa ku perform 'wanaunga mkono'
na TMK majita,karibu JF mama Demba BAHehehe...mtu unasikitika mpaka unajikuta unacheka tu, ngoja watapoanza kula miaka ndo mtapouona huo u "halisia" ama u "TMK"...kweli bange sio nzuri!
Mkuu ukiwa kama senior, punguza matumizi ya 'kama ni kweli' sio nzuri kwa integrity
Issue ya Madawa nita msupport sana Makonda, wewe mbowe au yeyote yule. We can differ in method lakini 'concept' ya madawa kupiga vita nitaitetea mazima
Hii yote ni kumchafua Makonda.Sasa kama TID akipewa milioni mbili ili aache madawa akanunue kifaa cha bendi yake aendee lupiga mziki kuna tatizo ganiWote tumeshuhudia kilichoitwa 'vita dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya'
lakini taarifa zilizojitokeza wiki hiii za kuwa kumbe 'baadhi ya watuhumiwa'
TID na Tunda na Rommy Jones' walilipwa shilingi milioni mbili' kila mmoja
ili tu 'kufanikisha usanii huo wa vita ya kupigana na madawa''
iwapo hizo taarifa ni za kweli....basi hii aibu ni kubwa mno kwa utawala huu..
Yoote hayo ili iwe nini?
wanajaribu ku achieve nini hasa?
Hela wanazotuhumiwa kupewa kina TID zilitolewa na nani na kutoka fungu gani?
Mtatapatapa sana, but the war continues.Wote tumeshuhudia kilichoitwa 'vita dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya'
lakini taarifa zilizojitokeza wiki hiii za kuwa kumbe 'baadhi ya watuhumiwa'
TID na Tunda na Rommy Jones' walilipwa shilingi milioni mbili' kila mmoja
ili tu 'kufanikisha usanii huo wa vita ya kupigana na madawa''
iwapo hizo taarifa ni za kweli....basi hii aibu ni kubwa mno kwa utawala huu..
Yoote hayo ili iwe nini?
wanajaribu ku achieve nini hasa?
Hela wanazotuhumiwa kupewa kina TID zilitolewa na nani na kutoka fungu gani?
Madawa hapa tatizo ni kupita kwenda kwingine na kutuchafulia sifa ila Ulivyo mbito unadhani haya madawa wanaokula ndugu zako ndio yanayiichafua nchi hawa mateja wananunua uchafu.Mnaofikiri ni usanii acheni ushoga, mateja wanalalama hakuna dawa na wengine wanakimbilia ktk vituo vya dawa kuponya maisha yao baada ya kukosa unga wewe unaleta ukuda nenda kwa bwanaako Mbowe Dj mkalambe wote kenge wewe
Basi banaHatukuishia kuwalipa tu pesa, pia tumewalipia gym
with Boss Salaah "GSM"
Rommy nae sijui anataka akachukue nafasi ya mwarabu fighter bodyguard wa Chibu
Daudi Bashite Raisi wa dar msanii Ommy d anayeishi kifahari japo ahit now days..anaishi kwenye bangalore alilolipiwa na GSM. Wakiwa Gym
Mwana FA hakuwa mjinga kuimba "Tajiri mtoto kama salah zipo ila sikupi mi sio bahili m nibalaa" katika kumsifia boss wao
"The Circle"
Usiulize makonda anatoa wapi pesa
Haha I just connect the dots" asante mkuuBasi bana
Shikamoo Mzee Banseni Burner
Mkuu Daudi Bashite ana reflect Babaake alivyoWote tumeshuhudia kilichoitwa 'vita dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya'
lakini taarifa zilizojitokeza wiki hiii za kuwa kumbe 'baadhi ya watuhumiwa'
TID na Tunda na Rommy Jones' walilipwa shilingi milioni mbili' kila mmoja
ili tu 'kufanikisha usanii huo wa vita ya kupigana na madawa''
iwapo hizo taarifa ni za kweli....basi hii aibu ni kubwa mno kwa utawala huu..
Yoote hayo ili iwe nini?
wanajaribu ku achieve nini hasa?
Hela wanazotuhumiwa kupewa kina TID zilitolewa na nani na kutoka fungu gani?
Mkuu uliishauliza, na sidhani una majibuSasa kuwalipa kina TID nayo ni method gani labda?
Kwenye picha ya mwisho naona ndugu Bashite anamuangalia ommy dimpoz kwa jicho la wivuHatukuishia kuwalipa tu pesa, pia tumewalipia gym
with Boss Salaah "GSM"
Rommy nae sijui anataka akachukue nafasi ya mwarabu fighter bodyguard wa Chibu
Daudi Bashite Raisi wa dar msanii Ommy d anayeishi kifahari japo ahit now days..anaishi kwenye bangalore alilolipiwa na GSM. Wakiwa Gym
Mwana FA hakuwa mjinga kuimba "Tajiri mtoto kama salah zipo ila sikupi mi sio bahili m nibalaa" katika kumsifia boss wao
"The Circle"
Usiulize makonda anatoa wapi pesa