Kama ndivyo, kuna shida. Kubwa!

wamebadilisha gia angani barua isingekuwa yao siku ileile wangetoa taarifa kwa umma kuwa ni feki lakini walikaa kimya siku zaidi ya week na tena police wanatejeleza amri pamoja na yule dc eti leo sio yao ni yao ila wamepima upepo wameona italeta shida
 
Tuwe na polish wasomi hata kiasi kidogo tuu itasaidia...
Waweze kujisoma hata PGO sio mpaka Lissu awafundishe.
Nihatari binduki kushikwa na asiyesoma.
 
Simu huwa ni moja tu na hakuna kuliza chochote we nikuitikia na kutekeleza
 
Serikali ya Malkia SASHA ni utawala uliofitinika! Haiwezi kusaidia kubalini chochote! Utawala umeparaganyika!
 
Yaani kabisa unajiita wakili msomi na kushauri haya:

Serikali itusaidie kubaini jambo hili na kukomesha kujirudia kwa jambo kama hili.

Serikali gani hiyo?

Nina mashaka na huo uwakili wako msomi...
 
Tumeona na kusikia kuhusu hili. Sasa, imewezekanaje barua batili/isiyo halali kusababisha kufanyika kwa yote haya? Nani huyu aliyeghushi barua hii na kusababisha yote haya? Amefanya haya kwa faida ya nani?
Tayari.
Ile nadharia ya kuwepo na "serikali" ndani ya serikali sasa inageuka kuwa uhalisia.
Kuna GENGE pembeni linaloendesha shughuli za kiserikali. Hili Genge lipo chini ya BAKWATA.
 
Muliro anasemaje

Ova
Ndio GENGE hao hao, akina Muliro.
Padre kagongwa kichwani na kitu butu; Muliro anadai padre alikuwa na kilevi!
Kama kumbukumbu zipo sawa, hii siyo barua feki ya kwanza toka kwenye GENGE hilo. Kulikuwepo na barua iliyodaiwa toka TEC wakati huo huo padre alipoumizwa. TEC walipoikana ikapotea kimya kimya!
 
Kuna movie ilikuwa inatengenezwa ishindane ukali na ya chadema hatimae chadema ishafungiwa itapoa sasa haina nguvu
 
Muliro anasemaje

Ova
Posho za kuzuia shughuli za kanisa zerejeshwe kesho asubuhi kabla ya saa nne.Vinginevyo panga lipita mwisho wa mwezi kwa kila aliyehusika.
 
Ni mimi sijaelewa au watu wameamua kutazama upande mmoja?
Baada ya waziri kusema sio halali, ametoa maelekezo gani? Ameeleza nini kifanyike? Ameeleza hatua zinazochukuliwa na wizara juu ya hilo?
Kama hakuna alichosema, then hiyo ni punch usoni kwa Kibatala ili kusiwe na rufaa, maelekezo ya barua yaendelee kutekelezwa.
Ndio maana kama barua si hali hivyo hakuna rufaa yakushuhulikia.

Naona watu mmejikita kivingine kabisaa
Rufaa ikifanyika kwa haki itarudishia waumini na kiongozi wao haki yao. Ndio maana imepigwa juu kwa juu.
 
Mkuu 🙋👏🤝👍🙏
 
Mkuu mbona unajizima data, kwa mujibu wa mleta hoja akimnukuu Kibatala, waziri kasema barua sio halali na hivyo ujumbe sio halali kwa maana hiyo hakuna rufaa.

Wewe Mkuu unasemaje utekelezaji uendelee, kwa hiyo unatuambia kamaanisha ubatili uendelee???
 
Yaani kabisa unajiita wakili msomi na kushauri haya:

Serikali itusaidie kubaini jambo hili na kukomesha kujirudia kwa jambo kama hili.

Serikali gani hiyo?

Nina mashaka na huo uwakili wako msomi...
Mkuu mashaka yako hayabadilishi chochote, maana hukumchagia hata senti 5 kwenye Ada yake.

Kwa hiyo Mkuu tembelea kwenye MGR yako muache ateleze na SGR yake!
 
Tayari.
Ile nadharia ya kuwepo na "serikali" ndani ya serikali sasa inageuka kuwa uhalisia.
Kuna GENGE pembeni linaloendesha shughuli za kiserikali. Hili Genge lipo chini ya BAKWATA.
Mkuu nakuunga mkono, Askofu Gwajima alikuwa sahihi, na mtego alioutega umenasa na kuthibitisha ukweli wa hoja yake kuu!
 
Mkuu mbona unajizima data, kwa mujibu wa mleta hoja akimnukuu Kibatala, waziri kasema barua sio halali na hivyo ujumbe sio halali kwa maana hiyo hakuna rufaa.

Wewe Mkuu unasemaje utekelezaji uendelee, kwa unatuambia kamaanisha ubatili uendelee???
Nikuombe ufikiri.
Waziri mwenye dhamana, ambae rufaa inakatwa kwake, barua batili imetumika kutekeleza amri batili. Wanaotekeleza amri batili wanaitika ultimately kwake.
Kwakua amegundua ubatili wa barua, alipaswa afanye nini? Amekifanya alichopaswa?
Kitu pekee amefanya ni kukataa kuendelea na rufaa kwasababu ya ubatili wa amri, vipi kuhusu ubatili aliougundua ikiwa yeye ndo waziri mwenye dhamana?
 
Jesho la polios lifanye zika kaw weredi
 
Mkuu una uhuru wa maoni na mtazamo wako na nauheshimu.

Mkuu, uzuri mimi na wewe tu nakubaliana kuwa uhuni umebuma.

Ili tusikeshe kubishana tuwaachie weledi wa sheria!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…