Kama nakosea nirekebisheni

Kama nakosea nirekebisheni

StudentTeacher

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2019
Posts
5,619
Reaction score
5,885
Salaamu na pole kwetu sote kwa ubatizo wa moto tunaoendelea kubatizwa nao ili hatimaye tung'are na kuwa kama dhahabu safi.

Binafsi huwa nina hii 'kasumba', huwa nakuwa mzito sana wa kumshauri mtu ushauri ambao kuna watu ambao walitangulia kumshauri muhusika halafu akaupuuza(haijalishi ushauri huo una thamani kiasi gani).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom