Kama n mwanaume usifanye haya

Kama n mwanaume usifanye haya

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,870
🚨MWANAUME👂

1- Usilale na Mke wa mtu
Hili ni deni litakaloitesa damu yako milele

2 - Usiwe na mahusiano na Boss wako
Mkigombana utapoteza mapenzi & maisha

3 - Usije kupendana na EX wa mshikaji wako
Akiachwa na msela, ameachwa na Familia🙌

4 - Ndugu yako akikufundisha Kuvua KAMWE usirushe nyavu mtoni kwake

5 - Ukitambulishwa shemeji acha kutaka kuonekana wewe bora kuliko mwana

6 - Kama wewe sio mjomba basi achana na Mashangazi yaliyokuzidi umri👀

7 - Siku zote heshimu hisia zako, Usilale na mwanamke usiemuamini, Kuna makosa ya gharama kubwa kuliko starehe za siku moja

8 - Usitumie hisia sehemu inapohitajika Akili🧠

9 - Tunapambana kila siku lakini mtoaji ni Mungu, Mshirikishe Mungu kwa kila jambo sababu wakati mwingine anasubiri uombe ili upewe👍

Via Neema Wehu

Wajane ruksa hioo n ibadaaaaa
 
🚨MWANAUME👂

1- Usilale na Mke wa mtu
Hili ni deni litakaloitesa damu yako milele

2 - Usiwe na mahusiano na Boss wako
Mkigombana utapoteza mapenzi & maisha

3 - Usije kupendana na EX wa mshikaji wako
Akiachwa na msela, ameachwa na Familia🙌

4 - Ndugu yako akikufundisha Kuvua KAMWE usirushe nyavu mtoni kwake

5 - Ukitambulishwa shemeji acha kutaka kuonekana wewe bora kuliko mwana

6 - Kama wewe sio mjomba basi achana na Mashangazi yaliyokuzidi umri👀

7 - Siku zote heshimu hisia zako, Usilale na mwanamke usiemuamini, Kuna makosa ya gharama kubwa kuliko starehe za siku moja

8 - Usitumie hisia sehemu inapohitajika Akili🧠

9 - Tunapambana kila siku lakini mtoaji ni Mungu, Mshirikishe Mungu kwa kila jambo sababu wakati mwingine anasubiri uombe ili upewe👍

Via Neema Wehu

Wajane ruksa hioo n ibadaaaaa
Namba 8 imesimama
 
Alamu siku zote ndio tamu eniwei ngoja tujitahidi kuyashinda majaribu
 
Namba moja imekaa kiubaguzi

Mambo ya ubaguzi hayakubaliki katika jamii
 
Back
Top Bottom