Kama Mungu ni wa wote, kwanini wengine wateseke?

Kama Mungu ni wa wote, kwanini wengine wateseke?

Nimechoka na dunia tu Mkuu, japo siwezi kujinyonga🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Usichoke banaha unajua kuna watu wanapitia magumu lako jepesi 😄😄 angalau wewe umepata hata muda wa kutafakari wengine moyo umejaa uchungu balaa, Mungu wetu hutupenda sote majaribu yakiwa mengi ujuwe una kitu na shetani hataki ufanikiwe kanyagia hapo hapo mzee mlwe muombe Mungu tu,japo jata sala fupi sema Mungu nirehemu Mungu unisamehe Mungu unisaidie Mungu unipitishe salama kwenye kila gumu
 
Maarifa ndiyo humfanya mtu ateseke au atese. Mtu yeyote bila kujali ni kafiri au mcha Mungu maarifa aliyopewa akiyatumia vyema hatateseka
 
Nahisi hahusiki na chochote katika dunia hii, Maana angekuwa anahusika watu wote wangeishi kwa usawa.
Dunia ikiwa na usawa maisha ukosa ladha.
Hakuna mwalimu halisi kama matatizo ndie mwalimu akufunzae kwa vitendo.
Maendeleo yote yameletwa na matatizo
 
Usichoke banaha unajua kuna watu wanapitia magumu lako jepesi 😄😄 angalau wewe umepata hata muda wa kutafakari wengine moyo umejaa uchungu balaa, Mungu wetu hutupenda sote majaribu yakiwa mengi ujuwe una kitu na shetani hataki ufanikiwe kanyagia hapo hapo mzee mlwe muombe Mungu tu,japo jata sala fupi sema Mungu nirehemu Mungu unisamehe Mungu unisaidie Mungu unipitishe salama kwenye kila gumu
Kuchoka na matatizo maana yake akili imeshindwa kuchakata taarifa gari ikiisha mafuta halitupwi unaweka mengine.
Unamiliki smart phone unakuwaje na matatizo sasa hali kupitia simu yako unapata taarifa zote juu ya kutatua matatizo yako. Dawa ya matatizo ni kumiliki maarifa na maarifa umilikiwa kutokana na taarifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom