Kama Muhongo hakuhusika, Mengi anahusikaje?

Alafu fahamu kuwa Maswi ni mtumishi wa umma tofauti na Muhongo.HATA HVYO JK KAMSIMAMISHA MASWI KELELE TU ,HAKUKUWA NA SABABU KAMA ILISHAWEKWA WAZI ESCROW HAIKUWA YA UMMA.

Nani kakudanganya escrow sio pesa ya uma?hebu soma mijadala, tumechoka kuwaelekeza
 
 

sasa kama hujui maana ya report tutaongea nini mimi nawewe?unasema TRA hawakuwa na report?

report
rɪˈpɔːt/
verb
[COLOR=#878787 !important][/COLOR]

  • 1.
    give a spoken or written account of something that one has observed, heard, done, or investigated.



ingia hapa.
https://www.google.co.tz/?gws_rd=ssl#q=meaning+of+report
 
Nimepiga SINGE kichwani mwako na Tumboni mwako nipo nimetulia ndiyo maana wewe bado unaomwabudu Mengi kwa kumuona ni MUNGU na njia sahihi yakijukomba kwa Mengi ni kujitoa Fahamu na kuwapinga watu juu w

Ndo nini sasa au wewe ndo wale mitume na manabii
 
Kuwa muelewa wewe, Jairo alipisha uchunguzi ndiyo, lakini mwisho wa siku akapewa notification ya kuwajibishwa!
Kwani vipi? Angalia comment ya pili na tatu baada ya thread utagundua nilichomaanisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…