Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,274
Sikuhizi kuwa na mchepuko ni kitu cha kawaida sana. Hasa kwa wenye ndoa za mke mmoja. Mchepuko anapata mahitaji yote lakini hajulikani kwenye ukiona.
Si jambo la kushangaza unakuta mama anamuona mwanaume J3 mpaka Ijumaa akitoka kazini lakini saa tatu lazima awahi kwa mke wake.
Mchepuko asipomuona mzee, dereva atatumwa apeleke mahitaji lakini haruhusiwi kupiga simu aulize mzee yuko wapi. Ikitokea amepata ajali au kifo, watoto wanapata tabu. Si ajabu mama ni hana njia yeyote ya kuingiza kipato.
Kanisa lifikirie jinsi ya kuokoa roho za waumini hawa kwani wengi tu wanaishi kwa dhambi.
Si jambo la kushangaza unakuta mama anamuona mwanaume J3 mpaka Ijumaa akitoka kazini lakini saa tatu lazima awahi kwa mke wake.
Mchepuko asipomuona mzee, dereva atatumwa apeleke mahitaji lakini haruhusiwi kupiga simu aulize mzee yuko wapi. Ikitokea amepata ajali au kifo, watoto wanapata tabu. Si ajabu mama ni hana njia yeyote ya kuingiza kipato.
Kanisa lifikirie jinsi ya kuokoa roho za waumini hawa kwani wengi tu wanaishi kwa dhambi.