MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,980
- Thread starter
-
- #41
Kuniita kenge mkubwa au mdogo haiwezi kuondoa ukweli kuwa upinzani una hali mbaya sana katika uchaguzi huu!Kenge mkubwa ww, hii ni nn?View attachment 1551427View attachment 1551428
Huyo dogo ni boya kwelikweli
Nadhani ukitembelea tovuti ya Tume ya Uchaguzi unaweza kuyapata!Naomba kuwajua wagombea was ccm walioenguliwa kwa sababu zozote then uje tudiscuss kama kuiongelea ilani ya chadema ya uchaguzi ilikuwa muhimu for yesterday
Na kama ccm ina wagombea smart kuzidi hawa wa upinzani kwamba hawana pingwmizi lolote kutoka kwa tume why wakiingia bungeni wanaishia kusema NDIYOOOOOO
CCM INAFANYA TAMASHA LA MUZIKI DODOMATukubali tukatae, upinzani nchini una hali ngumu sana sio kifedha tu bali pia katika uhamasishaji! kwa kifupi, HAUKUJIPANGA VIZURI!
Mkutano wa ufunguzi wa CHADEMA umetoa majibu mengi kuhusu mustakabali wa vyama vya upinzani nchini!
Kupiga kelele nyingi haina maana kuwa wanaopiga kelele ni wengi! Ufunguzi wa kampeni wa CHADEMA umedhihilisha usemi huu!
Pamoja na CHADEMA kuchagua sehemu yenye uwanja mdogo katika ufunguzi wa kampeni lakini hata kuujaza walishindwa!
Kama CHADEMA ambayo ''tunaambiwa ina mgombea anayesubiri kuapishwa'' inakuwa katika hali ile kwenye ufunguzi wa Kampeni, vipi itakuwa kwa Bernard Membe ambaye safari yake ya kwenda Ikulu inafifia kabla hata ya kufungua kampeni za ACT-Wazalendo kitaifa!
Kwa niliyoyaona kwa CHADEMA, kama wapinzani hawataungana haraka sana kuna hatari ya bunge kuwa na wabunge kutoka CCM zaidi ya asilimia 90!
Ninajua kuna ''manazi'' wa upinzani watakuja hata ''kupiga kelele'' lakini hali halisi itabaki kuwa hali halisi.
Kwa mfano, upinzani utaitishaje maandamano ili kupinga suala fulani na kupata waandamanaji wengi na wenye kukabiliana na lolote wakati vyama vya upinzani vinawekeana mapingamizi NEC.
Tatizo CHADEMA wamewakashfu/kuwatukana CUF na NCCR-Mageuzi wakati hawajaufikia mto achilia mbali kuuvuka! Kwa sasa ninavyodhani itakuwa vigumu CUF na NCCR-Mageuzi kuungana na CHADEMA.
Huu ni ushauri tu kwa sababu ninapenda angalau upinzani uwe na asilimia 30 ya wabunge wa Tanzania!
Kuna msemo usemao, ''Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, atavunjika ghafula, wala hapati dawa'
Halafu nikikugawia utanipa nini?Nigawie Basi Hilo buku Saba ulilopewa
Hujui kuwa kujibu debe tupu ni upumbavu kama unajitambua!Eti ulete picha gani wakati wewe ni debe tupu
Hata hivyo sijalielezea hilo debe tupu bali nimelitambulisha tuHujui kuwa kujibu debe tupu ni upumbavu kama unajitambua!
Haya nenda kalaleHalafu nikikugawia utanipa nini?
Wataalam wa computer science kwa mawazo hayo watakwambia kichwa kina virus thereforth needs antivirus to deal with it. Ulimwengu wa kistaarabu tulionao saizi unaogopa kushindana kwa hoja unapita kwa mapingamizi meanwhile chama chako wote wakipita how comesNadhani ukitembelea tovuti ya Tume ya Uchaguzi unaweza kuyapata!
Picha ya saa tano yenye vivuli virefu zaidi ya kimo cha mwenye kivuli!Unaleta ushahidi wa picha ya TBC? Pumbavu kabisa, wameweka picha ya saa 5 ndiyo wanatuaminisha nfiyo mahudhurio ya wananchi hayo? Ndiyo maana Mbowe aliwatimua uwanjani!
Bila ilani CDM walishinda uchaguzi,hawakutangazwaNa ni yaleyale tu. 2015 mpaka siku ya mwisho wa kampeni, tuliambiwa ilani tukasome kwenye Website, 2020 tunaambiwa ilani haisomwi mpaka siku watu wakiwa wengi uwanjani😂😂
Tukubali tukatae, upinzani nchini una hali ngumu sana sio kifedha tu bali pia katika uhamasishaji! kwa kifupi, HAUKUJIPANGA VIZURI!
Mkutano wa ufunguzi wa CHADEMA umetoa majibu mengi kuhusu mustakabali wa vyama vya upinzani nchini!
Kupiga kelele nyingi haina maana kuwa wanaopiga kelele ni wengi! Ufunguzi wa kampeni wa CHADEMA umedhihilisha usemi huu!
Pamoja na CHADEMA kuchagua sehemu yenye uwanja mdogo katika ufunguzi wa kampeni lakini hata kuujaza walishindwa!
Kama CHADEMA ambayo ''tunaambiwa ina mgombea anayesubiri kuapishwa'' inakuwa katika hali ile kwenye ufunguzi wa Kampeni, vipi itakuwa kwa Bernard Membe ambaye safari yake ya kwenda Ikulu inafifia kabla hata ya kufungua kampeni za ACT-Wazalendo kitaifa!
Kwa niliyoyaona kwa CHADEMA, kama wapinzani hawataungana haraka sana kuna hatari ya bunge kuwa na wabunge kutoka CCM zaidi ya asilimia 90!
Ninajua kuna ''manazi'' wa upinzani watakuja hata ''kupiga kelele'' lakini hali halisi itabaki kuwa hali halisi.
Kwa mfano, upinzani utaitishaje maandamano ili kupinga suala fulani na kupata waandamanaji wengi na wenye kukabiliana na lolote wakati vyama vya upinzani vinawekeana mapingamizi NEC.
Tatizo CHADEMA wamewakashfu/kuwatukana CUF na NCCR-Mageuzi wakati hawajaufikia mto achilia mbali kuuvuka! Kwa sasa ninavyodhani itakuwa vigumu CUF na NCCR-Mageuzi kuungana na CHADEMA.
Huu ni ushauri tu kwa sababu ninapenda angalau upinzani uwe na asilimia 30 ya wabunge wa Tanzania!
Kuna msemo usemao, ''Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, atavunjika ghafula, wala hapati dawa'
Lete picha