Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
bia gani hizo za kupima kwenye vikombe?umenena vema sana Teamo jioni nitafute kwa one cup of Bear
balimi?
bia gani hizo za kupima kwenye vikombe?umenena vema sana Teamo jioni nitafute kwa one cup of Bear
acha kutuzuga wakati kipindi hicho watoto walikuwa wanaolewa miaka 15 au 16 na shulwe ilikuwa sio wote wanaosoma kwa hiyo ilikuwa ukivunja ungo unaolewa miaka hii ndio watu wanachelewa kubanjuana kwa taarifa yakoMiaka yetu ya 1960-70 umri huo tulikuwa bado kabisa kujua hii maswala ya kubanjuana :A S 39:
Ubarikiwe baba Askofu
halafu wanashangaza sana kipindi chote cha miezi 9 ya ujauzito walikuwa wapi mpaka wamlete mtoto na kumbwaga hapo nyumbani.hiyo familia imefanya kosa kuja kumbwaga binti yao bila kuongea na wazazi wenzao kwanza...sasa wakiamua kumfanya house gal itakuwa imekula kwa nani?
Tatizo kijana ameitwa amehojiwa sana anadai yeye hajawahi kuwa na uhusiano wowote na Binti..wakati Binti analia anadai ni mimba ya kijana..
kweli ujana mmh..........................
21yrs na 19yrs unawaita watoto? uh!!
Really this is a challenging situation. Lakini kwa mustakabali wa mtoto hasa wa kike suala inabdi liongelewe kifamilia nawahsuika wote wa pande mbili. Kama mzazi wa upande wa mtoto wa kiume option ya kwanza itakuwa ni kutoa mimba kama iko within miezi inayokubalika.
Abortion should not be an option for (your) convenience. It is murder. It is just wrong all around.
In a situation like that I think the kids should be made to own up to their responsibilities. If they had unprotected sex and pregnancy resulted from it then they should be accountable for their actions. If that means growing up fast and becoming young parents, then so be it.
Otherwise abortion should be highly discouraged unless the life of the mother is at risk or if it is a case of incest.
Nyani Ngabu
I havent considered abortion as an easy option. I also acccept it is wrong but with the situation and factors surrounding the issue i still think this uneasy option should be thought about.
All other option have their risks tooo . Simple risk analysis kwa option zote bado kunanifanya niamini in this case uamuzi mgumu wa abortion inabidi ufikiriwe.