johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,940
- 141,915
Kama Lema tu ambaye ni mbunge kutoka kambi ya upinzani anadaiwa zaidi ya nusu bilioni kupitia udhamini wa bunge...... Yawezekana madeni ya wabunge wa CCM yasitamkike.
Binafsi namshukuru Spika Ndugai kwa kutufumbua macho kwamba wengine huenda bungeni kufuata fursa ya mikopo na si vinginevyo.
Kuna wakati Spika alisema wabunge wengi wana mikopo kiasi kwamba kiasi wanachobaki nacho baada ya makato kinasikitisha.
Kama vipi Spika wetu mpendwa tupia ile orodha ya wadaiwa sugu bila kujali itikadi zao za kisiasa.
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Binafsi namshukuru Spika Ndugai kwa kutufumbua macho kwamba wengine huenda bungeni kufuata fursa ya mikopo na si vinginevyo.
Kuna wakati Spika alisema wabunge wengi wana mikopo kiasi kwamba kiasi wanachobaki nacho baada ya makato kinasikitisha.
Kama vipi Spika wetu mpendwa tupia ile orodha ya wadaiwa sugu bila kujali itikadi zao za kisiasa.
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!