thomaskitomari
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 472
- 204
Habari vipi wakuu?? naona ukiingia kwenye website ya nacte kwenye results wameandika we are finalizing second selection, je kuna ambao wameshapata hyo first selection ya nacte???
Mm bado ila wameandika wait for next selectionHabari vipi wakuu?? naona ukiingia kwenye website ya nacte kwenye results wameandika we are finalizing second selection, je kuna ambao wameshapata hyo first selection ya nacte???
hata mm wameniandikia WAIT FOR NEXT SELECTION daah nikajua labda wameshatupotezea mpaka mwakani.kwann inakuaje hvy ambavyo wanasema?Mm bado ila wameandika wait for next selection
daah cjui inakuaje hvy ambavyo wanatuandikia kuwa Now wait for next selection
Weka uthibitisho wa aliechaguliwa kama first selection imetoka mdafirst ilishatoka mda..second ndio wanachakata sasa
Tunazungumzia wanaoomba degree sio diploma n certificateFirst ilishatoka muda sana na tusha sahau na second ishatoka muda sana kwa sasa watu wana anza kusoma next week kwa baadhi ya vyuo ila kwa ngazi ya certificate na diploma ila kwa second watu wa afya kilimo na ualimu ndo wanasubiria ila kwa vyuo vya serikali .Now ni toleo la tatu ndo wana finalize
Kwa hao bado paka tcu wachague daah subirini sanaTunazungumzia wanaoomba degree sio diploma n certificate
Huyu bado mdogo anazungumzia habar za selection za certificate na diploma wakati sisi tunastress za degreeFirst ilishatoka muda sana na tusha sahau na second ishatoka muda sana kwa sasa watu wana anza kusoma next week kwa baadhi ya vyuo ila kwa ngazi ya certificate na diploma ila kwa second watu wa afya kilimo na ualimu ndo wanasubiria ila kwa vyuo vya serikali .Now ni toleo la tatu ndo wana finalize