Kama kuna waliopata NACTE first selection

Kama kuna waliopata NACTE first selection

FIRST ROUND HAWAJAPATA MTU, mwaka huu wote wa diploma tutaingia chuo kikuu kama BEST LOSERS
 
First ilishatoka muda sana na tusha sahau na second ishatoka muda sana kwa sasa watu wana anza kusoma next week kwa baadhi ya vyuo ila kwa ngazi ya certificate na diploma ila kwa second watu wa afya kilimo na ualimu ndo wanasubiria ila kwa vyuo vya serikali .Now ni toleo la tatu ndo wana finalize
Sisi tunazungumzia bachelor brother cyo certificate wala diploma mkuu
 
Back
Top Bottom