Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,751
- Thread starter
- #21
Mkuu inawezekana kweli nimetoroka mirembe au hata nimezaliwa chizi.​wote hao nasikia walitoroka milembe hawajamalizia matibabu wasamehe mkuu.
Lakini heri yangu mie mwendawazimu nayaona madhara ya utawala huu kuliko weye timamu unayesheherekea janga la utawala huu mbovu dhidi ya raia.
Ukiwa unapenda kusikia habari zinazokufurahisha HAKIKA utazipata ila ukitaka kuwa na msimamo kabiliana na UHALISIA wa changamoto ili kubadili mwenendo mbovu zoelevu.
....Kama una mapenzi naye mema KAMWAMBIE haya maneno
MENE, MENE
TEKELI
PERESI
Inawezekana nafasi bado ipo bado ya kuepusha yajayo