100bucks
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 685
- 752
Sawa mkuu,wewe ndiye unayesoma mwenyewe,ndio maana ulisema kwenye uzi wako mmoja kuwa watanzania tuna uelewa mdogo kuhusu kikokotoo kipya,yani wewe na SSRA ndio mna akili kuliko watanzania wote waliowafanyakazi,what a joke?Wewe huwa unasoma kweli au unasubiri watu waandike halafu ubishe
Unafahamu SSRA imeanzishwa lini?
Hii mifuko inadai serikali kwa deni la kurithi, Hivi Unadhani wale wazee wa zamani walichangia makato yao kwenye mifuko?
Sent using Jamii Forums mobile app