Kwa Dar ndoa za hivi ziko nyingi sana. Unakuta mke amempata mtu wa kutuliza ukichaa wake wa kimapenzi mahala anapohangaika mchana kutwa na mume naye ana mtu kibaruani kwake. Wanandoa hawajawahi kuonana kwa sura mchana. Ni Usiku tu.Hio ni hatari kwa maisha ya ndoa.Kama mtu ana mke na anaamkaga saa kumi alfajiri inabidi awahi kurudi home awe na mkewe na siku za off atulie na mkewe,,kugongewa atasikia pembeni tu,,,la sivyo ana hatari sana.