kama huwa unacheka we cheka tu...

kama huwa unacheka we cheka tu...

First Born

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
5,317
Reaction score
1,484
Ticha katoa assignment madogo wachore
mchoro wowote mzuri kwenye karatasi nyeupe.
Baada ya dakika 6 dogo mmoja akasimama
kumpelekea ticha karatasi kwamba kamaliza.
ticha kucheki akaona karatasi nyeupe dogo
hajachora kitu. Akamswalika: Umechora nini?
Dogo: Sir nimechora ngo'ombe anakula majani.
Ticha: Sasa mbona hakuna majani hapa?
Dogo: Ng'ombe amekula yote sir!
Ticha: Na ng'ombe mwenyewe yuko wapi, mbona
hakuna?
Dogo: Majani yalivyoisha na ng'ombe naye
akaondoka sir, ndo maana hamna kitu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom