5years of medical school and three more years of post graduate mmed studies, not a single supplementary exam!! You must be extremely retarded to think that miaka mitatu ya chuo, let alone chuo bila sapu, ni mingi. Na bata zilikuwepo kama kawa kudadex
Lipopoma na likilaza fulani linatafuta faraja hapa jamvini baada ya kukamatwa
Punguani wahed
mtu mzima unajisifu kuwa umepata sup ni akili kweli. Boya kabisa.
ukpata supp unakuw n mawazo y nyumban au chuo,mda wwt mambo yanabadilka supp xo nzur kwanza nan anapenda vtu vbaya ,soma vyuo vy tech ndo utajua supp n nn?
ukpata supp unakuw n mawazo y nyumban au chuo,mda wwt mambo yanabadilka supp xo nzur kwanza nan anapenda vtu vbaya ,soma vyuo vy tech ndo utajua supp n nn?
Hiyo jama ana tapa tapa ili walau naye apatae
ahueni baada ya SAP kumuandamama
kila semister.
Kilaza kazini.
UONGo!
Huyu hajawah soma hata VETA
Wengine ni watu wa mikiki mikiki na hakuna sapu. Sa kama wewe akili yako ndio kilaza namna hiyo pole. Inaelekea hata ukimaliza chuo hutakuwa na mchango chanya kwa jamii yako.
Mwanafunzi piga mishe zote na usikubali paper ikuone.
Haha umenifurahisha seneta ,between the lines nimekuelewa tofauti ,hakuna jemedari pasipokua na vita ,na hakuna vita iliyo pigana bila kua na loss ya watu au vifaa aka SUP
Usifikiri ni kazi rahisi pia kutopata supp. ni jasho pia tena kubwa....tofauti na wewe ni kuwa kwenye paper hasiyepata supp hawezi kupiga bao, au mikono kulowa jasho....wewe quiz mbili tu ukiona umeboronga Sept unaiona ile