Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,643
- 4,182
- Thread starter
- #41
mnashknashkna na mademu chuoo...na ukilaza juu....kwenda twn kila mudaaa..... Someni...mje mpmbne ktaaa....vacancies wametoa udom, angalia vgezooo sanyiee msikazeee
mkuu umegusia ishu ya vacancies za udom,
kwa graduates waliomaliza mwaka huu karibia wote hawana transcripts,
wanaweza kuapply ikiwa wamefikia g.p.a inayotakiwa au ndo wasubiri mpaka mwakani?