Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Maskini Tanzania! Nchi iliyokuwa inategemewa kwa kuwa na watu intellectual sio Afrika tuu bali hata duniani imegeuka kuwa ya hovyo kiasi hiki?
Basi viongozi wa dini, wa kikabila hata wananchi mmoja mmoja tufunge na kuiombea nchi yetu na ujinga ulio tamalaki wa viongozi wetu, serikali na hiki chama tuitacho chama tawala.
Haiwezekani eti kiongozi wa juu anagharamiwa ziara ughaibuni eti anaongozana na ujumbe wa watu wa aina hii ya waigizaji kwa gharama zetu bila kuwa na tija.
Wanaomshauri huyu mama ni wa hovyo na kuna mashaka pia kwa huyo mshauriwa.
Basi viongozi wa dini, wa kikabila hata wananchi mmoja mmoja tufunge na kuiombea nchi yetu na ujinga ulio tamalaki wa viongozi wetu, serikali na hiki chama tuitacho chama tawala.
Haiwezekani eti kiongozi wa juu anagharamiwa ziara ughaibuni eti anaongozana na ujumbe wa watu wa aina hii ya waigizaji kwa gharama zetu bila kuwa na tija.
Wanaomshauri huyu mama ni wa hovyo na kuna mashaka pia kwa huyo mshauriwa.