Kama hii ni kweli... Basi ni KUFURU

UTITIRI WA THREADS DHAIFU ZENYE KUJIRUDIA MADA NA ZENYE KUJIKITA ZAIDI KWENYE TETESI ZIDHIBITIWE

Tutarajie mabadiliko hapa jamvini na tutafute kujizuia na ile kasumba ya kile kinachotakiwa kuwa ni POST tu za kawaida chini ya mada iliokwishainishwa ubaoni na badala ya KUKIMBILIA KUZITUNDIKA ukutani kama madai mapya na kisha kubuka kwa utitiri wa TREADS ZINAZOFANANA ambazo hazi uwezo wa kudumu zaidi ya siku moja kabla haijafa.
kwanza na shukuru kwa uchambuzi au maoni yako ya ziada kwamba kinachogomba si hizo stahili bali ni kustahili kwenyewe kupata hizo stahili. watu wengine wanataka tuamini kila kinachosemwa humu ni kuzungumzia watu. Hii sheria ikipitishwa haitamhusu DK. M. Shein bali yeyote yule ambaye atakuwa Rais wa Zanzibar.

Kama tutakimbia Thread zinazotutaka kutumia mbongo zetu basi tuwe tayari kurudia makosa yaleyale ambayo sasa tuupigia kelele utawala uliopo madarakani kwamba unayafanya. Kwa nini tunapenda zile thread za ushindani kati ya "magwanda' Na "Magamba" kana kwamba dunia nzima ya Tanzania imejaa magamba na mwagwanda?
 
Mwandishi wa Habari Idrissa Jabir ameandika kwenye gazeti la mwanahalisi haya yafuatayo'

1. Kuna mswada maalum kwa ajili ya mafao ya vigogo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) Zanzibar na familia zao unaandaliwa.

2 Rais akifa. Kizuka (Mjane) wake alipwe pensheni sawa na mshahara wa Rais atakayekuweko madarakani kwa wakati huo

3 Rais Mstaafu akifariki, watoto wake walio chini ya umri wa miaka 18 walipwe penseni sawa na mshahara wa Kima cha chini kwa wakati huo.

4 Makamu wa Rais aliyefariki kabla ya kulipwa stahili zake, familia yake ilipwe stahili hizo kwa niaba yake.

5 Kizuka wa Makamu wa Rais alipwe pensheni kwa miaka mitatu mfululizo kwa kiwango cha mshahara wa mumewe wakati akiwa madarakani.

6 Makamu wa Rais akifariki, watoto wake walio chini ya umri wa miaka 18 walipwe pensheni sawa na mshahara wa kima cha chini kwa wakati huo.


Jamani huyu ndiye mtoto aliyezaliwa kwenye ndoa ya CUF na CCM. Litakuwa toto shababy kweli kweli!!


ivi zenji wana sarafu yao? au wanatumia hii hii Tanganyika shilingi kujineemesha?
 
MUSWADA BILA USHIRIKI WAKO WA DHATI TANGU MWANZO NI SAWA NA MZIGO WA KUNI KICHWA ULIOFUNGIWA KAMBA YA NYOKA NYAMWIRU HUKU TUKICHEKELEA NA KUTEMBEA KWA MADAHA MBUGANI

Kwa kweli ni imani yangu kwamba hata na hao watu wenye jukumu la kuunda muswada kabla ya kupelekwa bungeni nao wanatamani sana maoni yetu ili kunpopitishwa mswada huo kuwa ni sheria na basi sheria hiyo iweze kuwa na uwezo wa kuhimili mikiki mikiki na mabadiliko ya nyakati mbali mbali / to stand THE TEST OF TIME.

Nadhani wengi wetu tunahitaji kusaidiwa kuelewa kwamba pindi unaposikia kuna sera inatungwa, sheria mpya iko njiani, uteuzi umefanyika, kauchaguzi kapo hata kwa ngazi tu ya kitongozi basi sisi kawa raia wema TUNAO WAJIBU kuzifuatilia, kuzikodolea macho, kushiriki moja kwa moja na hata kuzitolea maoni ili baadaye TUSIJE TUKAENDELEZA HUU UTARATIBU WA 'TAIFA LA WALALAMISHI'.

Ufuatiliaji huu unatokana na ukweli kwa (1) mabadiliko hayo yanatuguza ama kwa salama au kwa madhara katika maisha yetu ya kila siku. Lakini pindi unapowaachia wengine kukuchagulia mjumbe wa nyumba kumi bila ushiriki wako eti kwa kuwa aidha waona ni mambo madogo sana au wewe siku zo uko bize basi matokeo ya uongozi wa yeyote atakayechaguliwa lazima ukubaliane nayo bila minungoniko. (2) Tunazimika kufuatilia mambo kama hayo kwa kuwa hata wale tuliowapa majukumu kuyatekeleza kwa niaba yetu wala si kweli kwamba wao wafahamu kila kitu; laa hasha!

Leo hii kumeletwa hoja nzito mno ubaoni badala ya wengine tuko bize eti Nnauye apandishwa kizimbani, Ugonjwa wa Mhe Zitto au Kamanda Lema awakimbia polisi (hizo ni mifano tu) na kuishia kwenye kuanzisha THREADS mia kidogo katika maeneo hayo hayo matatu na kuendelea kupotezea.

Ndio, utakuta hayo yote yakiendelea huku kukiwa na kulazia damu HOJA ZA KUFA MTU kama vile uchambuzi wa kina wa muswada tajwa hapo juu au ule Muswada Moto unaoweza hata kupeleka taifa letu kusikotamanika (Muswada wa Kuandikwa Upya Katiba ya Wananchi chini ya usimamizi wao wenyewe) ajabu ni kwamba JF hivi sasa hatuchambui tena mambo mazito kama haya isipokua mambo ni porojo kushoto kulia, kutwa kucha - too bad!!!!!!!!!

Miswada kama hii ikipita bila ya uchambuzi wa kina ya wadau wake wengi zaidi na kuwekezea maoni yao mle, hata kukitumika mabilioni ya fedha kufanya hivyo, mwisho wa siku sheria kama hizo au katiba yenye kupatikana kwa uzao wa mawazo ya wachache nachelea kusema kwamba lazima utaanguka tu maana umma hawa umiliki nao kwa kuwa hatujajishirikishwa wenyewe kama ma-bosi wa zoezi zima.

Ni kwa misingi hiyo hiyo ndio maana tunajiandaa kama taifa kuutupilia mbali MSWADA WA KOMBANI kuhusu katiba mpya na badala yake kuweka kwenye nafasi yake MSWADA WA WANANCHI kwenda bungeni Domz.

JF ni vema tukakataa kuwa sehemu kubwa ya watu walalamishi matupu kama abiria kwenye daladala badala yake tukilazimishwa sana basi inatubidi tena ni haki kumsukumilia mbali dereva korofi kama Mama Celina Kombani na kujichukulia nafasi zetu stahiki kama dereva ili kujiamulia hatima yetu na aina ya MKATABA WA UTAWALA (Katiba) ambao tungependa kuwekeana na akina Kikwete wengine tutakaoamua kuwaweka kazini siku zijazo kwa njia ya kura zetu kidemokrasia.

The sum total of my arguement; JF members, let's strain to ONLY discuss WHERE IT MATTERS most to our nation. Mtu asije akalalamika kuhusu malipo kwa viongozi wastaafu na uzao wao na kuamua kuita kila kitu UFISADI huko mbele ya safari wakati muda ni huu hapa wa sisi kujigeuza mafundi seremala kuunda sura ya aina ya samani tunyoitaka na badala yake mbao zote tukazigeuza kuni kukoea moto sebuleni.

Take note please for those a few who cares.


kwanza na shukuru kwa uchambuzi au maoni yako ya ziada kwamba kinachogomba si hizo stahili bali ni kustahili kwenyewe kupata hizo stahili. watu wengine wanataka tuamini kila kinachosemwa humu ni kuzungumzia watu. Hii sheria ikipitishwa haitamhusu DK. M. Shein bali yeyote yule ambaye atakuwa Rais wa Zanzibar.

Kama tutakimbia Thread zinazotutaka kutumia mbongo zetu basi tuwe tayari kurudia makosa yaleyale ambayo sasa tuupigia kelele utawala uliopo madarakani kwamba unayafanya. Kwa nini tunapenda zile thread za ushindani kati ya "magwanda' Na "Magamba" kana kwamba dunia nzima ya Tanzania imejaa magamba na mwagwanda?
 
TUTUMIE HUU MUSWADA WA 'RUZUKU SHITIRISHI KWA VIONGOZI WASTAAFU' KUJENGA TABAKA LA STATESMANSHIP NCHINI KABLA GHARIKA HAIJATUKUMBA HAPO MBELENI

Ni kweli wazee wetu wamefanya kazi kubwa sana huko nyuma hivyo kustahili kwao KUSHITIRISHWA UZEENI, lakini hilo kamwe lisifanyike bila kuweka vigezo na

(1) mipana itakayomlinda mlipakodi wa wakati ujao,

(2) kuneemesha wazee bila kulipa MISHAHARA KAMA YA RAIS atakayekwepo madarakani kwa watu ambao tayari wameshatundika daluga (ni posho ya ushitiri na wala si mshahara), hadi kwenye mipaka ya maana ya familia ijumuishayo Baba, Mama, na Watoto wa ndani ya ndoa waliotambuika kisheria siku ile alipokua anaagwa kwenda nyumbani tu.

(3) Kulinda haki za vyama vya siasa hasa vile vinavyochipuka ili visikumbwe na uwanya wa siasa wenye mabonde mengi na milima huku WASTAAFU hao wakionekana kurandaranda tena mitaani kunadi wengine na kujiharibia sifa hasa pale ambapo kunatokea mauaji kama ambavyo kule Igunga tulikowaon.

Mpaka hapo hakuna ubishi kwamba hali hii ikiachwa kuendelea zaidi basi tujue inanyima mgombea wa chama changa uwanja mzuri kuchezea kisiasa kiushindani zaidi (matokeo yake hujenga chuki dhidi ya wazee) kwa kuwa mshindani wake ambaye tuchukulie ni wa chama tawala atakua akipata faida ziadi kutoka kwa wastaafu wetu ambao watamhangaikia kushoto kulia kwa kutumia zile zile fedha ambazo walipakodi wa vyama vyote watakua wamejinyima kimaendeleo na kuamua KUMSITIRISHA NAYO UZEENI kwa heshma ya utumishi kwa taifa.

Kwa lugha nyingine ni kwamba lazima tuweke kwenye muongozi wa MARUPURUPU SHITIRISHI KWA VIONGOZI WASTAAFU wazima piaa ikawavunie walipakodi taswira njema ya kuwepo na tabaka la WAZEE WA TAIFA WANAOWEZA KUTEGEMEWA NJE YA TOFAUTI ZA KIITIKADI za kidini na kisiasa pindi tunapojikuta kutokuelewana sisi vijana wao. Leo hii kukitokea jambo zito tuseme kati ya CDM na CCM ndio tunakimbilia kwa Mze Mashishanga aliyediriki kupanda jukwaani kutakia mbaya chama kimojawapo, aau ndio tunaenda kwa Mzee Edwin Mtei, Benjamin Mkapa au Sir George Kahama?

Jamani tukubaliane kwamba tuliosea sana kutoweka mazingira y kisheria sio tu inayowashitirisha ka Mzee Timothy Apiyo, Hawa Ngulume, Nickodemus Banduka, na sasa Ole Njolay, Babu Shirima na Mzee Yussu Makamba ... bali kubwa zaidi ni kwamba kwa choyo zetu tu tumeshindwa kisheria kujenga tabaka la wazee wastaafu ambao tunaweza TUKAWAMILIKI KWA PAMOJA, tukawa na sababu za kuamini neno lao hadharani au siri, na tukapaatanishwa bila kuhisi hata chembe cha U-ITIKADI kupita hapo katika katika.

Hakika inaweza ikaniyima raha sana kusikia eti Jaji Mkuu Mstaafu anaadi mgombea wa TLP eti yeye ni mwana TLP. Ninachosema hapa ni kwamba enda Jaji huyu atapenda kuendelea kutumia HAKI yke kikatiba kogombea kitu na pengine kuja kuwa wziri wa sheria na katika (Mama Kombona hii ni nadharia kujengea hoja hapa) ni ruksa lakini asipasate ruzuku shitirishi sawa sawa Jaji Mkuu mstaafu Samatta ambaye yeye kajiamulia kwamba ndio basi tena yeye harudi kwenye mambo ya kiitikadi za kisiasa bali ni kwamba kachagua kuingia kwenye tabaka adimu nchini la STATESMANSHIP basi.

Tabaka hili ni adimu sana watu kutulia mle; Mzee Mwinyi Kashindwa, Mzee Mkapa hivo hivo na Mzee Kingunge hasikii na Mzee Makamba ndio usiombe. Hakika tbaka hili kukosekana kwake nchi jirani Kenya napenda kujiaminisha kwamba ndio sababu kuu iliweza kuwafikishaa kwenye kuchinjana kama kuku hivyo wenzetu wenye mswadaa huu tafdhali tupa mipaka yetu ya kuona mambo na tuonyeshe ubunifu kucheza naa sheri hii ili itufae si kwa kulipana tu bali pia kwa kutufanya tuwe salama zaidi kama jamii moja.

Hebu imagine leo Mtumishi wetu Mstaafu Usalama wa Taifa Mzee Apson atakapoanza kusema yeye ni CHADEMA damu au yeye ni CCM Lowassa mpaka hpo mwenzangu unaona nini upande wa pili wa klivati? Haiwezekani tukaendekeza ITIKADI ZA KISIASA kiasi hicho kiasi cha kutunyima TABAKA LA STATESMEN hata huko kwenye taalum; ni aibu sana kusikia kila waongoza fikra kama Dr Banna kusema eti yeye ni CCM Mwandosya damu - mambo yakiharibika nawauliza Wazee Waitara, Askofu Laiser na Mboma, Wa-Tanzania tukaawakimbilieni huko huko kwenye chama kimojawapo?? Take a minute a think about it seriously.

Tabaka hili la Positive and most Active STATESMANSHIP, tangu Mwalimu Nyerere atutoke huko kubakia wachache tu kama vile Mzee Sabodo, Jenerali Ulimwengu, Prof Shivji, Mzee Warioba, Maria Nyerere, ambao ajabu ni kwamba wengine tunashinikiza afukuzwa uanachama wake wa zaidi ya miaka 42 eti kwa sababu tu katenda jambo lenye faida kwa kikundi kingine cha Wa-Tanzania lakini kwa kosa la kwenda nje ya mipaka ya kichoyo ya itikadi.

Wana-JF wenzangu, tujadili miswada hii kiundani zaidi leo ili tukwepe DOWANS za kesho huku tukiendelea kutafuta kuwasulubu wakwapwaji wetu wa sasa ambao hivi sasa tunawaona wakimwaga hela makanisani nchi nzima huku nikishindwa kujiondole mawazo kwamba HUENDA IKAWA NDIO SEHEMU ya yale malipo yasiona baaraka kwa Richmond ambazo huenda hivi sasa ndio zinatafuta kubaarikiwa kwa nguvu huko kwenye midhabahu zetu.
 
TUTUMIE HUU MUSWADA WA 'RUZUKU SHITIRISHI KWA VIONGOZI WASTAAFU' KUJENGA TABAKA LA STATESMANSHIP NCHINI KABLA GHARIKA HAIJATUKUMBA HAPO MBELENI

Ni kweli wazee wetu wamefanya kazi kubwa sana huko nyuma hivyo kustahili kwao KUSHITIRISHWA UZEENI, lakini hilo kamwe lisifanyike bila kuweka vigezo na

(1) mipana itakayomlinda mlipakodi wa wakati ujao,

(2) kuneemesha wazee bila kulipa MISHAHARA KAMA YA RAIS atakayekwepo madarakani kwa watu ambao tayari wameshatundika daluga (ni posho ya ushitiri na wala si mshahara), hadi kwenye mipaka ya maana ya familia ijumuishayo Baba, Mama, na Watoto wa ndani ya ndoa waliotambuika kisheria siku ile alipokua anaagwa kwenda nyumbani tu.

(3) Kulinda haki za vyama vya siasa hasa vile vinavyochipuka ili visikumbwe na uwanya wa siasa wenye mabonde mengi na milima huku WASTAAFU hao wakionekana kurandaranda tena mitaani kunadi wengine na kujiharibia sifa hasa pale ambapo kunatokea mauaji kama ambavyo kule Igunga tulikowaon.

Mpaka hapo hakuna ubishi kwamba hali hii ikiachwa kuendelea zaidi basi tujue inanyima mgombea wa chama changa uwanja mzuri kuchezea kisiasa kiushindani zaidi (matokeo yake hujenga chuki dhidi ya wazee) kwa kuwa mshindani wake ambaye tuchukulie ni wa chama tawala atakua akipata faida ziadi kutoka kwa wastaafu wetu ambao watamhangaikia kushoto kulia kwa kutumia zile zile fedha ambazo walipakodi wa vyama vyote watakua wamejinyima kimaendeleo na kuamua KUMSITIRISHA NAYO UZEENI kwa heshma ya utumishi kwa taifa.

Kwa lugha nyingine ni kwamba lazima tuweke kwenye muongozi wa MARUPURUPU SHITIRISHI KWA VIONGOZI WASTAAFU wazima piaa ikawavunie walipakodi taswira njema ya kuwepo na tabaka la WAZEE WA TAIFA WANAOWEZA KUTEGEMEWA NJE YA TOFAUTI ZA KIITIKADI za kidini na kisiasa pindi tunapojikuta kutokuelewana sisi vijana wao. Leo hii kukitokea jambo zito tuseme kati ya CDM na CCM ndio tunakimbilia kwa Mze Mashishanga aliyediriki kupanda jukwaani kutakia mbaya chama kimojawapo, aau ndio tunaenda kwa Mzee Edwin Mtei, Benjamin Mkapa au Sir George Kahama?

Jamani tukubaliane kwamba tuliosea sana kutoweka mazingira y kisheria sio tu inayowashitirisha ka Mzee Timothy Apiyo, Hawa Ngulume, Nickodemus Banduka, na sasa Ole Njolay, Babu Shirima na Mzee Yussu Makamba ... bali kubwa zaidi ni kwamba kwa choyo zetu tu tumeshindwa kisheria kujenga tabaka la wazee wastaafu ambao tunaweza TUKAWAMILIKI KWA PAMOJA, tukawa na sababu za kuamini neno lao hadharani au siri, na tukapaatanishwa bila kuhisi hata chembe cha U-ITIKADI kupita hapo katika katika.

Hakika inaweza ikaniyima raha sana kusikia eti Jaji Mkuu Mstaafu anaadi mgombea wa TLP eti yeye ni mwana TLP. Ninachosema hapa ni kwamba enda Jaji huyu atapenda kuendelea kutumia HAKI yke kikatiba kogombea kitu na pengine kuja kuwa wziri wa sheria na katika (Mama Kombona hii ni nadharia kujengea hoja hapa) ni ruksa lakini asipasate ruzuku shitirishi sawa sawa Jaji Mkuu mstaafu Samatta ambaye yeye kajiamulia kwamba ndio basi tena yeye harudi kwenye mambo ya kiitikadi za kisiasa bali ni kwamba kachagua kuingia kwenye tabaka adimu nchini la STATESMANSHIP basi.

Tabaka hili ni adimu sana watu kutulia mle; Mzee Mwinyi Kashindwa, Mzee Mkapa hivo hivo na Mzee Kingunge hasikii na Mzee Makamba ndio usiombe. Hakika tbaka hili kukosekana kwake nchi jirani Kenya napenda kujiaminisha kwamba ndio sababu kuu iliweza kuwafikishaa kwenye kuchinjana kama kuku hivyo wenzetu wenye mswadaa huu tafdhali tupa mipaka yetu ya kuona mambo na tuonyeshe ubunifu kucheza naa sheri hii ili itufae si kwa kulipana tu bali pia kwa kutufanya tuwe salama zaidi kama jamii moja.

Hebu imagine leo Mtumishi wetu Mstaafu Usalama wa Taifa Mzee Apson atakapoanza kusema yeye ni CHADEMA damu au yeye ni CCM Lowassa mpaka hpo mwenzangu unaona nini upande wa pili wa klivati? Haiwezekani tukaendekeza ITIKADI ZA KISIASA kiasi hicho kiasi cha kutunyima TABAKA LA STATESMEN hata huko kwenye taalum; ni aibu sana kusikia kila waongoza fikra kama Dr Banna kusema eti yeye ni CCM Mwandosya damu - mambo yakiharibika nawauliza Wazee Waitara, Askofu Laiser na Mboma, Wa-Tanzania tukaawakimbilieni huko huko kwenye chama kimojawapo?? Take a minute a think about it seriously.

Tabaka hili la Positive and most Active STATESMANSHIP, tangu Mwalimu Nyerere atutoke huko kubakia wachache tu kama vile Mzee Sabodo, Jenerali Ulimwengu, Prof Shivji, Mzee Warioba, Maria Nyerere, ambao ajabu ni kwamba wengine tunashinikiza afukuzwa uanachama wake wa zaidi ya miaka 42 eti kwa sababu tu katenda jambo lenye faida kwa kikundi kingine cha Wa-Tanzania lakini kwa kosa la kwenda nje ya mipaka ya kichoyo ya itikadi.

Wana-JF wenzangu, tujadili miswada hii kiundani zaidi leo ili tukwepe DOWANS za kesho huku tukiendelea kutafuta kuwasulubu wakwapwaji wetu wa sasa ambao hivi sasa tunawaona wakimwaga hela makanisani nchi nzima huku nikishindwa kujiondole mawazo kwamba HUENDA IKAWA NDIO SEHEMU ya yale malipo yasiona baaraka kwa Richmond ambazo huenda hivi sasa ndio zinatafuta kubaarikiwa kwa nguvu huko kwenye midhabahu zetu.

Mungu jaalia angalau kwa sasa Baraza la Wawakiishi wameugomea mswada wenyewe.Lakini hoja yao nayo ni dhaifu sana. kwamba mswada huo lazima uwajumuishe na wao.
 
UTITIRI WA THREADS DHAIFU ZENYE KUJIRUDIA MADA NA ZENYE KUJIKITA ZAIDI KWENYE TETESI ZIDHIBITIWE

Kwa kweli inasikitisha mno kuona kwamba JF ya sasa, ambayo imetwaliwa na wanachama wa baada ya mauaji ya Igunga, kumetokea mabadiliko makubwa sana kutoka kwenye hadhi ya kuleta na kujadili hoja juu ya mada zenye tija kwa taifa hadi kufikia kwenye hadhi ya mazungumzo jikoni kujadili watu tu.

THREADS 50 unazoona zikianzishwa hapa ubaoni ni zile chini ya 5 tu ndizo zinazoonyesha kusheheni CHAGIZO NA UCHOKOZI WA FIKRA; watu kufikiri kiundani zaidi na kuletea taifa ufumbuzi katika maoni murua kwa faida ya watu huko maofisini.

Nadhani MODS wetu hawa wakipendezewa tu basi kuna uwezekano wa kubana nafasi kwa 'mada watu' na kupewa uwanja mpana zaidi 'mada hoja'. Ingawaje bado tu watu watajadiliwa tu lakini kwa kulenga zaidi hoja fulani na zaida zake kwa nchi basi.

Kama mtu utakua umeangalia sana utagundua kama vile wenye kawaida ya kujadi hoja zai (mfano Mzee Mwanakijiji, Waberoya, CandidScope, na wengine wengi wa aina yao jamvini ni kama vile wamewapisha kimya kimya hili Jeshi Jipya linaloongozwa na watu kama vile Malaria Sugu, Rejao, Selemani, Omr, Wakigoma, FaisaFox na wengine wengi wa aina yao.

Mara nyingi, utakubaliana nami kwamba idadi kubwa sana ya watu hawa huwa ni mwingi wa porojo porojo tu na kutafuta kule kushindana katika uanzishwaji wa THREAD hadi 6 kwa wakati mmoja ila ukifuatilia maswali anayoulizwa kila THREAD unakuta hayupo na pengi hana hata habari kwamba pindi uanzishapo mada ni sharti uwepo ndio mjadala upate kuendelea vizuri zaidi

Tutarajie mabadiliko hapa jamvini na tutafute kujizuia na ile kasumba ya kile kinachotakiwa kuwa ni POST tu za kawaida chini ya mada iliokwishainishwa ubaoni na badala ya KUKIMBILIA KUZITUNDIKA ukutani kama madai mapya na kisha kubuka kwa utitiri wa TREADS ZINAZOFANANA ambazo hazi uwezo wa kudumu zaidi ya siku moja kabla haijafa.

Ukitaka kuthibitisha ninachosema hapa utakuta kwa 5 ya 50 ya THREADS zilizoenda shule utakazozikuta humu tu huishi hamu ya kuzifuatilia na kuendelea kuchangia mawazo hata baada ya kupita miaka miwili mitatu hivi.

Mkuu umenena maana sasa imefika mahala yaani baada ya kusoma thread unaishia kupoteza muda ku-scroll yaani ni upuuzi kwenda mbele,hili ni jamvi la GREAT THINKERS not GREAT STINKERS! nifahamishwe kama kuna option ya kubloc post mizinguo ninapofanya login nadhani itakuwa poa kama mods wakitupa option hiyo!
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom