Maistro 1
JF-Expert Member
- Sep 4, 2015
- 422
- 181
HIvi CCM haina wabunge wenye uwezo tena. Ridhiwani Kikwete kweli nae waziri kwa utendaji upi ?. Tanzania hii kujuana na undugunaization utaisha lini?, hata na Rose Migiro wengine wana hisa na uwaziri eti?, kuna mtu alinieleza kuwa huyu mama hajawahi kuwa mbuge wa kura za wananchi yeye ni viti maalum na kuchaguliwa na rais tu. Ila chakushangaza hakuna chochote remarkable alichotufanyia in short wakuu wana mbeba eti ni mtaalam wa sheria, ila kwa mtazamo wangu mimi huyu ni mzigo.
Hawa wote walioorodheshwa kwenye hili gazeti sioni kama wataenda kumsaidia Rais Magufuli. Naona wanaenda kutengeneza kambi za kuusaka urais 2025. Ningekuwa na uwezo ningemshawishi Rais Magufuli apige wote chini. Jamani tunataka kuona damu nyingine siyo hawa-hawa wengine wanatuhuma kibao. Namaliza kwa kusema hivi kama atatangaza baraza hili-hili la ajabu-ajabu. Natarajia press conference ya akina Tundu Lissu siku inayofuata.
Hawa wote walioorodheshwa kwenye hili gazeti sioni kama wataenda kumsaidia Rais Magufuli. Naona wanaenda kutengeneza kambi za kuusaka urais 2025. Ningekuwa na uwezo ningemshawishi Rais Magufuli apige wote chini. Jamani tunataka kuona damu nyingine siyo hawa-hawa wengine wanatuhuma kibao. Namaliza kwa kusema hivi kama atatangaza baraza hili-hili la ajabu-ajabu. Natarajia press conference ya akina Tundu Lissu siku inayofuata.