Haiwezekani kujiita mzalendo wakati hauthamini ungozi unajali utawala wa kikatiba, haiwezekani kujiita mzalendo wakati unaivunja katiba wazi wazi. 2020 tuna mhitaji atakaye tuahidi kutuletea katiba mpya atakaye iheshimu katiba ya nchi, uzalendo haupimwi na ujenzi wa flyover, uzalendo haupimwi kwa kuwa na ndege nyingi, hata Mobutu aliyafanya hayo Kongo .
Ndio maana hata sisi tunasema kama hautaki katiba na sisi pia hatukutaki, nchi lazima iongozwe kwa kufuata katiba na wala si kwa mapenzi tu ya mtu anavyo jisikia .
Tunamhitaji kiongozi atakaye ziheshimu sheria za nchi ajalishi awe anatokea CCM au hata upinzani, watanzania tuwaogope sana viongozi wasio penda kufuata sheria za nchi, katiba ndio sheria mama inayo ongoza nchi, katiba ni sheria ambayo wananchi wote huwa tumeziweka na kukubaliana kuwa zinafaa kutuongoza.
Ndio maana hata sisi tunasema kama hautaki katiba na sisi pia hatukutaki, nchi lazima iongozwe kwa kufuata katiba na wala si kwa mapenzi tu ya mtu anavyo jisikia .
Tunamhitaji kiongozi atakaye ziheshimu sheria za nchi ajalishi awe anatokea CCM au hata upinzani, watanzania tuwaogope sana viongozi wasio penda kufuata sheria za nchi, katiba ndio sheria mama inayo ongoza nchi, katiba ni sheria ambayo wananchi wote huwa tumeziweka na kukubaliana kuwa zinafaa kutuongoza.