Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Wote mnaoshabikia ujinga wa Madagaska, mnajidanganya na kupoteza muda, hamna tofauti na Kinjekitile na Vita ya maji maji tulishatoka huko, isitoshe kama haumini Sayansi iliyopo basi fungeni Vyuo vyote, unawezaje kuamini Dawa ambayo hata anayeitengeza hajui Virus ni nini? Anatibu vipi kama hajui tabia ya virus, na kama haumini kama kuna Virus kwa nini unatumia neno korona? Kwa maana korona ni kundi la virus ambavyo cov19 ni mojawapo.
Acheni ujinga, tuwekeze kwenye elimu tutoke hapa, mambo ya kuamini kuruka na ungo tumeshathibitisha kuwa hayapo.
Uchawi uko hapa chini, tuwekeze hapo, fvck Madagaska!
Acheni ujinga, tuwekeze kwenye elimu tutoke hapa, mambo ya kuamini kuruka na ungo tumeshathibitisha kuwa hayapo.
Uchawi uko hapa chini, tuwekeze hapo, fvck Madagaska!