Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Hukosi kwenye hizi nyuziNakumbuka kiswahili darasa la tatu Kinyume cha Kawa ni Waka...wanaotumia .... wasiotumia

AmenWanaume wote na wanawake wote ambao hatujawahi fanya huo uchafu na hatutafanya kabisa tubarikiwe
....ila tuzidi kuomba ili tusiangukeAta kama ule ule ata mungu mwenyewe anaweza kukuonea huruma kukuchoma pamoja na mzibua mitaro

Sasa hivi ni nyie nyie mnadangana wenyewe kwa wenyeweAmen tena tubarikiwe aswaa maana vishawishi ni vingi vya kufanya tukate tamaa na machura haya

Kuna ile kukosea inatelezea huko bahati mbaya nayo tuihesabie ni dhambi?Amen....ila tuzidi kuomba ili tusianguke

mtu am'bake babaako mbele yako au akuibie buku zambi zote ni sawa mkuu?Nawauliza waumini, eti kuna dhambi kubwa na ndogo?
Hakuna cha kutelezea bana.....mkuu kama unakichukia hiki kitendo hata demu afanyeje hawezi kukushawishi hata kwa nukta!Kuna ile kukosea inatelezea huko bahati mbaya nayo tuihesabie ni dhambi?![]()
HeeeMate siachi...ila huko ndio nmeacha kabisaa
...kwahiyo ulikuwa unazibua kuumbe?
Chura haihusiani...mtu tu anakuwa na ufirauniTatizo ni chura
1 Yohana 5:16Nawauliza waumini, eti kuna dhambi kubwa na ndogo?
Sasa we unamuiga mbwa?Kwani mate ni sawa na kuzibua mtaro mkuu kama kulamba K mpka mbwa wanalambana kabla ya kuduu
....huyo mla mizoga?