Jawai
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 530
- 407
Kipindi cha ujana wangu kuna Do mmoja aliniambia anataka nimnyooshe mgongo, nilielewa anachotaka lakini nikajifanya mshamba sijui.Dunia sasa imechafukwa kweli kweli ,kuna ambao wanacheka wenzao kwa maovu ambayo ata wao walishawahi kuyafanya kama Konk konk master,
Leo hii ukipita kijiwe kupiga story kati ya story zote lazima utapata na story ya mwajuma ndala ndefu kuzibuliwa mtaro na mzibuaji yupo hapo kwa kijiwe ndio anawastorisha,
Hakuna cha Ke wala Me uoga wametupa kule,wameshasahau hiyo dhambi ndio dhambi kuu iliyoangamiza miji ya Sodoma na gomora,
Wapo wachache ambao hawajawahi kufanya hicho kitendo either kuzibua mtaro kwa Me or kuzibuliwa kwa Ke,
Binafsi nawala sana maduu na nilishakutana na Aina nyingi sana za maduu lakini sijawahi shawishika kumgeuza mgongo na nilishaapa sitofanya hivyo kamwee.
Kama na wewe hujawahi kula goti na hautegemei kumgeuza duu mgongo au kugeuzwa kwa Ke huu ndio uzi wetu wa kujidahi ,
Wale mabasha wote tafadhari msiutie najisi uzi wetu hapa ni kwa watu ngangari tu.
Nikaishia kumfanyia massage kwenye mgongo na siku hiyo ndiyo ilikuwa mwisho wa uhusiano wetu.
Nilimuona kabisa kuwa wana undugu na Shetani.



