DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,904
- 4,229
We unachukulia jehanam kama mahakama ya hakimu mkazi kisutuNdio. How comes aliyeiba trillion 1.5 na aliyeiba kuku wawe sawa?
Hakuna dhambi Kubwa wala ndogo
We unachukulia jehanam kama mahakama ya hakimu mkazi kisutuNdio. How comes aliyeiba trillion 1.5 na aliyeiba kuku wawe sawa?
Ikishaitwa dhambi tayari ni chukizo mbele ya Mungu kwa mujibu wa vitabu husika.Dhambi ni sawa ila kuna zingine ni chukizo kwa muumba
Sawa mkuu we endelea kuzibua mitaro chemba zisijaeIkishaitwa dhambi tayari ni chukizo mbele ya Mungu kwa mujibu wa vitabu husika.
Hivi mkuu ukakutana na mtu aliyekuibia fedha nyingi alafu papo hapo ukakutana na mashoga wanafanya yao bila kuingilia uhuru wako utachukua hatua gani?
Kupambana na mwizi wako au mashoga ambao hata hawali kwako?
Kwanini uchukizwe na watu walioamua kutumia miili yao wapendavyo bila kumbugudhi mtu wakati yapo mengi ya kufanya?
Pombe anywe mwingine kulewa ulewe wewe
Kwa tamaduni na mila za kiafrica ni mwiko au mkosi kufanya hivyo unajitafutia mabalaa tuhaya mambo yameletwa na waarabu washenzi washenzi tu! Kwanza ni dhambi. Ukuryani kwetu hakukuwa na hiki kitu, tuliamini ukishafanya hivi ngombe zako wote wanakufa! na ilitusaidia kutunza maadili
Mitaro ya madume hapana!Sawa mkuu we endelea kuzibua mitaro chemba zisijae
Mtaro ni mtaro tu haijarishi ni wa soko au wa choo yote ni sawa mkuu