Kama hakupi uhuru wa kumkosoa unapata wapi nguvu ya kumsifia?

Kama hakupi uhuru wa kumkosoa unapata wapi nguvu ya kumsifia?

MtotoKautaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2018
Posts
877
Reaction score
1,781
Wakuu hebu tujadili kitu kimoja hapa.

Media na watu maarufu na machawa kutwa kucha ni kusifia tu na wakati kuna mambo kibao yanatokea ambayo siyo mazuri ambapo walipaswa kuwa wanayaongelea pia lakini wao kazi waijuayo ni kusifia.

Anyways tuseme wanaogopa kukosoa kwasabab absolutely watapitia vipindi vigumu, ila sasa kwani wanashinikizwa kusifia ingali wameminywa wasikosoe?
 
Hata kipindi cha yesu kulikuwa kuna babu zao Yuda na tomaso.
Tena huyu tomaso siku yesu anafufuka na kuambiwa na wafuasi wa yesu alibisha na mpaka yesu anafika ila bado alibisha.
Sijui alikuwa mtu wa kigoma huyu tomaso
 
Back
Top Bottom