Kama Hakuna Washindani, Kampeni na Uchaguzi vya Nini?

Toosweet

JF-Expert Member
May 27, 2012
2,141
1,982
Kwenu,

Wakuu jambo hill halileti mantiki. Imekwisha zoeleka kwamba wabunge na madiwani wa CHADEMA na CUF wanajiuzulu nafasi za vyama vyao na wanakimbilia CCM ili wagombee tena. Fedha, muda na rasilimali nyingine zinatumika. Hili ni la hovyo sana.

Fikiri kwamba madiwani wanajiuzulu. Wanachukua fomu na kujaza kisha kurudisha. Wagombea wengine wanagomea uchaguzi na kisha wengine wanawekewa pingamizi. Wanapitishwa wa chama kimoja, chama pekee.

Ni ajabu kuwa chama kilichopitishwa kikiwa pekee, kinafanya kampeni na kinapigiwa kura.
Kinashindana na nani?
Kwa nini Tume ya Uchaguzi isitangaze diwani moja kwa moja ili kuepuka gharama?

TS
 
Kwenu,

Wakuu jambo hill halileti mantiki. Imekwisha zoeleka kwamba wabunge na madiwani wa CHADEMA na CUF wanajiuzulu nafasi za vyama vyao na wanakimbilia CCM ili wagombee tena. Fedha, muda na rasilimali nyingine zinatumika. Hili ni la hovyo sana.

Fikiri kwamba madiwani wanajiuzulu. Wanachukua fomu na kujaza kisha kurudisha. Wagombea wengine wanagomea uchaguzi na kisha wengine wanawekewa pingamizi. Wanapitishwa wa chama kimoja, chama pekee.

Ni ajabu kuwa chama kilichopitishwa kikiwa pekee, kinafanya kampeni na kinapigiwa kura.
Kinashindana na nani?
Kwa nini Tume ya Uchaguzi isitangaze diwani moja kwa moja ili kuepuka gharama?

TS
Unafahamu nchi hii ina vyama vingapi vya siasa?,unafahamu vyama ambavyo vinashiriki uchaguzi huo?,au umetoka usingizini
 
Kwenu,

Wakuu jambo hill halileti mantiki. Imekwisha zoeleka kwamba wabunge na madiwani wa CHADEMA na CUF wanajiuzulu nafasi za vyama vyao na wanakimbilia CCM ili wagombee tena. Fedha, muda na rasilimali nyingine zinatumika. Hili ni la hovyo sana.

Fikiri kwamba madiwani wanajiuzulu. Wanachukua fomu na kujaza kisha kurudisha. Wagombea wengine wanagomea uchaguzi na kisha wengine wanawekewa pingamizi. Wanapitishwa wa chama kimoja, chama pekee.

Ni ajabu kuwa chama kilichopitishwa kikiwa pekee, kinafanya kampeni na kinapigiwa kura.
Kinashindana na nani?
Kwa nini Tume ya Uchaguzi isitangaze diwani moja kwa moja ili kuepuka gharama?

TS
Acha dharau vyama vya upinzani sio Chadema Na CUF Seif Sharrif Hamad tu kuna ACT wazalendo , CUF Lijumba,NCCR nk vina madiwani Na bunge Na vingine vipo kibao . Chadema Na CUF Seif Sharrif Hamad acheni superiority complex you are not the only opposition party in the country
 
Mkuu ukitaka kupaka rangi upepo lazima vifaa viwepo hata kama unajua haiwezekan
 
Safari hii utasikia TLP wameshinda kiti au viti kadhaa vya udiwani!!

Hawa watu ni hatari kuliko ukimwi na kansa!
 
aliye iroga tz amesha jifia sema alituachia kitu kinaitwa mwenge huyo foro G.
 
True uchaguzi wa nn, ushindi wapewe washindi ccm,hizo hela zikanunua boati za uokozi maziwani.
 
Watakulaje ela za chama?
Kwenu,

Wakuu jambo hill halileti mantiki. Imekwisha zoeleka kwamba wabunge na madiwani wa CHADEMA na CUF wanajiuzulu nafasi za vyama vyao na wanakimbilia CCM ili wagombee tena. Fedha, muda na rasilimali nyingine zinatumika. Hili ni la hovyo sana.

Fikiri kwamba madiwani wanajiuzulu. Wanachukua fomu na kujaza kisha kurudisha. Wagombea wengine wanagomea uchaguzi na kisha wengine wanawekewa pingamizi. Wanapitishwa wa chama kimoja, chama pekee.

Ni ajabu kuwa chama kilichopitishwa kikiwa pekee, kinafanya kampeni na kinapigiwa kura.
Kinashindana na nani?
Kwa nini Tume ya Uchaguzi isitangaze diwani moja kwa moja ili kuepuka gharama?

TS
 
Kwenu,

Wakuu jambo hill halileti mantiki. Imekwisha zoeleka kwamba wabunge na madiwani wa CHADEMA na CUF wanajiuzulu nafasi za vyama vyao na wanakimbilia CCM ili wagombee tena. Fedha, muda na rasilimali nyingine zinatumika. Hili ni la hovyo sana.

Fikiri kwamba madiwani wanajiuzulu. Wanachukua fomu na kujaza kisha kurudisha. Wagombea wengine wanagomea uchaguzi na kisha wengine wanawekewa pingamizi. Wanapitishwa wa chama kimoja, chama pekee.

Ni ajabu kuwa chama kilichopitishwa kikiwa pekee, kinafanya kampeni na kinapigiwa kura.
Kinashindana na nani?
Kwa nini Tume ya Uchaguzi isitangaze diwani moja kwa moja ili kuepuka gharama?

TS
N wapi huko ambako kuna mgombea mmoja, na kuna kupiga kura!
 
Acha dharau vyama vya upinzani sio Chadema Na CUF Seif Sharrif Hamad tu kuna ACT wazalendo , NCCR nk vina madiwani Na bunge Na vingine vipo kibao . Chadema Na CUF Seif Sharrif Hamad acheni superiority complex you not the only opposition party in the country
na wakiua vyama vyao kwa makusudi vitaibuka vingine. Hawana hata miliki ya upinzani.
 
Pangusa mapovu meupe hayo midomoni basi
Acha dharau vyama vya upinzani sio Chadema Na CUF Seif Sharrif Hamad tu kuna ACT wazalendo , NCCR nk vina madiwani Na bunge Na vingine vipo kibao . Chadema Na CUF Seif Sharrif Hamad acheni superiority complex you not the only opposition party in the country
 
Back
Top Bottom