Mimi nilikuwa naishi Hosuton, TX na huko tulikuwa na mafuriko na vimbunga sana. Lakini kilicho saidia kulikuwa na kitengo cha nchi kinacho shughulikia maafa na kilikuwa na budget yake na mkurugenzi wake. Kama hakipo ningependa kupendekeza kiwepo maana hali ya hewa duniani imebadilika na haya mafuriko yatazidi kuongezeka kila mwaka.