herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,198
- 1,369
Niliandika mada hii https://www.jamiiforums.com/threads/wakristo-kwa-hili-mnapotoka-na-kukosea-sana.1210633/unread siku ya jumamosi tarehe 4 march 2017 saa 2:17 asubuhi hii inahusu masuala ya dini, kimsingi ni kuwekana tu sawa kwenye masuala haya ya kidini hasa kwa ndugu zetu hawa wakristo.
Hii mada niliomba ipelekwe jukwaa la dini sababu ndiyo mahali sahihi na kweli mods walipeleka hima sana, ombi la pili ni mimi kuingia jukwaa la dini ambali halikutekelezwa nikaandika uzi mwingine kuomba hilo wakaahidi kufanya hivyo.
Ile mada naiona tu sasa siku ngapi zimepita watu wanachangia mwenyewe nimepigwa limit hata siwezi kureview tu,
SASA NAOMBA KAMA HAIWEZEKANI KUNIRUHUSU NICHANGIE MADA YANGU HIYO MNIONDOE TU HUMU JAMIIFORUMS, HAKUNA SABABU YA KUENDELEA KUWA HUMU HALI NINAPUUZWA.
NAONA NADHARAULIKA TU NA MODS HAPA.
JamiiForums.
Hii mada niliomba ipelekwe jukwaa la dini sababu ndiyo mahali sahihi na kweli mods walipeleka hima sana, ombi la pili ni mimi kuingia jukwaa la dini ambali halikutekelezwa nikaandika uzi mwingine kuomba hilo wakaahidi kufanya hivyo.
Ile mada naiona tu sasa siku ngapi zimepita watu wanachangia mwenyewe nimepigwa limit hata siwezi kureview tu,
SASA NAOMBA KAMA HAIWEZEKANI KUNIRUHUSU NICHANGIE MADA YANGU HIYO MNIONDOE TU HUMU JAMIIFORUMS, HAKUNA SABABU YA KUENDELEA KUWA HUMU HALI NINAPUUZWA.
NAONA NADHARAULIKA TU NA MODS HAPA.
JamiiForums.