Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani inakuwaje unapoomba kufanya field sehemu,unakuta wahusika na sababu nyingi na wengine wanasema hawana nafasi kabisa,wanachokiogopa ni kipi?
Wanataka uwalambe miguu kwanza...
Mi nahisi wenye ofisi wengi hawana uelewa kuhusu field wanahisi maybe unataka kazi!
Si kweli kuwa wanafunzi wa field hawapokelewi, tatizo ni kuwa vyuo vimeongezeka sana kuliko ongezeko la waajiri. Utakuta mwajiri (kama wangu) anachukua takriban wanafunzi 120 kwa awamu tatu 940 kwa mkupuo), lakini applications zilikuja kama 500, japo anawaonea huruma lakini nafasi hana sasa wote hao atawaweka wapi? Zamani mashirika ya Umma 400+ yalikuwa yanasaidia, siku hizi hayapo ndo taabu yake hii sasa!
Inategemea na Chuo ulichotoka....kama kina sifa ya kutoa watu wazuri kupata field ni rahisi sana..ila kama ni hivi vyuo vya kata nani anataka shida??
Sawa unasema mimi na -generalise mbona na wewe unarudia kosa langu? yaani kwenda kwa huyo mwajiri mmoja ndio unasema wote? anyway, hiyo ndio hali halisi.wewe nawe unatoa mfano wa huyo mwajir wako mmoja , inshort wenye roho ka za mwajir wako ni wachache hvyo usi generalise..ofis nying hazitoi mfano wizara ya habar mi nliendaga wakaninyima na wala hawakuwepo wa2 wa field, bt sikukata tamaa nkamfata mkurugenz cz he was also my lecturer udsm ndo kupata t was 2009/2010.
Unamlemaza mtoto acha ajitafutie......ndio maana unampeleja shule ili aanze kujitegemea... mnaboaaa!Mimi pia nimehangaika sana kumtafuta field ya mtoto wangu, nikajiuliza kupata kazi itakuwaje
wewe nawe unatoa mfano wa huyo mwajir wako mmoja , inshort wenye roho ka za mwajir wako ni wachache hvyo usi generalise..ofis nying hazitoi mfano wizara ya habar mi nliendaga wakaninyima na wala hawakuwepo wa2 wa field, bt sikukata tamaa nkamfata mkurugenz cz he was also my lecturer udsm ndo kupata t was 2009/2010.
umenena mdauUnamlemaza mtoto acha ajitafutie......ndio maana unampeleja shule ili aanze kujitegemea... mnaboaaa!
Sawa unasema mimi na -generalise mbona na wewe unarudia kosa langu? yaani kwenda kwa huyo mwajiri mmoja ndio unasema wote? anyway, hiyo ndio hali halisi.