Wanasayansi wanasema dunia hulizuguka jua kwa speed ya 1609.344 kilomita kwa lisaa limoja tu, hivyo kumbe dunia ipo katika speed kubwa ya kulizunguka jua ndio maana tunapata usiku na mchana na majira ya mwaka.
Lakini ikumbukwe kuwa nnje ya uso wa dunia wanasayansi wametuma vyombo vingi sana ambavyo vipo katribu na uso wa Dunia kwaajili ya utafiti wa mambo ya anga na vingine kwa ajili ya mawasiliano na miongoni mwa vyombo hivyo ni
•ISS ~INTERNATIONAL SPACE STATION
•SATELLITE
View attachment 1009186
View attachment 1009187
Kama vyombo hivi vimetulia angani nnje ya uso wa Dunia kwa nini huwa haviachwi na Dunia kwa kuwa huwa inazunguka kwa Speed kubwa ya 1609.344 kilomita kwa saa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni boga walahiThis is rubbish!
Alokufundisha kua dunia kulizunguka jua inaleta Usiku na mchana ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejibu vema sanaHabari mkuu. Naomba nijibu kutokana uelewa wangu kidogo nafikiri hivyo vyombo haviachwi na dunia kwa sababu vipo kwenye anga ya dunia nikiwa namaana kwamba vipo kwenye kani ya mvutano wa dunia (earth's gravitational force).
Pili hivi vyombo huwa vinawekwa kwenye 0 gravity area yaan sehem ambayo kani ya mvutano kati ya mwezi na dunia huwa pako balanced yaan hauwezi kuenda juu au kuenda chini kwani kani ya mvutano kati ya dunia na mwezi ni sawa au ni sifuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejibu vema sana
Je na vyenyewe huwa vinakimbia sawa sawa na dunia au vipo at stationary position sababu ya zero gravity?.Habari mkuu. Naomba nijibu kutokana uelewa wangu kidogo nafikiri hivyo vyombo haviachwi na dunia kwa sababu vipo kwenye anga ya dunia nikiwa namaana kwamba vipo kwenye kani ya mvutano wa dunia (earth's gravitational force).
Pili hivi vyombo huwa vinawekwa kwenye 0 gravity area yaan sehem ambayo kani ya mvutano kati ya mwezi na dunia huwa pako balanced yaan hauwezi kuenda juu au kuenda chini kwani kani ya mvutano kati ya dunia na mwezi ni sawa au ni sifuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,jiulize kwanini ukiwa kwenye ndege ukirusha kitenesi juu unakidaka palepale ,ingawa spidi ya ndege ni zaidi ya km 500/h kanini usikiache kitenesi nyuma,au nzi anakua hewani lakini mnamove nae
Umefafanua vizuri mkuu maana mie nilijitutumua kwa kukumbuka Physics ya A level kitambo sana (nimezunguuka lakini wewe umenyoosha maelezo)Katika hali kama hiyo anatokea mtu anadai kuwa hakuna Mungu!!??.
Niingie kwenye mada, ni kwamba huna haja ya kuhoji juu ya hizo satellites (artificial), wewe kwanza fikiria juu ya mwezi ambao ni natursl satellite ya dunia, kitu ambacho mwezi unavyo behave kwa dunia ndivyo hivyohivyo artificial satellites zinavyo behave, kimsingi binadamu tumeiga sayansi ya Mungu kuhusu dunia na mwezi.
Kinachofanya mwezi siku zote uwe kando ya dunia licha ya dunia kukimbia katika kasi kubwa kiasi hicho kuzunguka jua ndiyo nguvu hiyohiyo inayozishikilia artificial satellites katika orbit zake nayo ni nguvu ya uvutano katika ya dunia na hizo satellites na ndiyo sababu hizo satellites na mwezi siku zote nazo huizunguka dunia ili kufanya nguvu ya uvutano iwiane na nguvu ya centrifugal.
Kwanini haziachani ni kwamba satellites zote zimo kwenye closed system moja na dunia. Mfano wake ni kama mtu uwemo ndani ya gari inayokwenda speed kubwa na wewe unakuwa katika kipindi hicho ni sehemu ya hilo gari na kama hakuna mtikisiko na hauta angalia nje basi huwezi kutambua kabisa kwamba gari hiyo inakimbia kwa speed kubwa kiasi hicho, na hii ndiyo hali tuliyonayo sisi tuliokuwa juu ya uso wa dunia kamwe hatuwezi kutambua/ kuhisi kwamba dunia inasafiri kwa (circular speed) kubwa kiasi hicho kwa sababu tumo ndani ya closed system na sisi tumekuwa kama ni srhemu ya dunia.
Physics ya form 5 mkuu hiyoJibu ni gravitational force. Hii ni physics ile rahisi ya form one, hapa kabla mambo ya hayajachanganya sijui gravity ikawa spacetime, e=mc2 etc
Hahaandio mawazo yako yalipoishia wala hutaki kusumbua ubongo wako kabisa.waafrika ni bara la shomo la choo(shithole)
Umemaliza kila kitu thread closedHalafu hiyo speed ni ndogo sana kutokana na ukubwa wa dunia. Ni sawa na Tairi LA lorry likizinguka kidogo linakuwa limebeba urefu zaidi ya tairi la kibajaji... Kwahiyo dunia kujizungusha shehem ndogo inachukua ma kilometa ya umbali
Kingine ni kwamba sisi tunazunguka na dunia kwani tupo kwenye uso wadunia sisi pamoja na vitu vingine kama bahari,milima nk hii inatufanya tuzunguke kwa spidi sawa na dunia. Mfano ukiwa kwenye gari unakuwa na spidi sawa na gar na ndio maana dereva akiweka breki lazma abiria atokee kioo cha mbele kwani gari inasimama wakati abiria bado yupo kwenye spidiView attachment 1009209
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo mwez nao kumbe uko ndani ya Dunia?jiulize kwanini ukiwa kwenye ndege ukirusha kitenesi juu unakidaka palepale ,ingawa spidi ya ndege ni zaidi ya km 500/h kanini usikiache kitenesi nyuma,au nzi anakua hewani lakini mnamove nae
Umefafanua vizuri mkuu maana mie nilijitutumua kwa kukumbuka Physics ya A level kitambo sana (nimezunguuka lakini wewe umenyoosha maelezo)
SAMAHANI mkuu, ivi hakuna MTU anaeishi pembezoni kabisa mwa Dunia , ili awe anachugulia pembeniii au haina madirishaKatika hali kama hiyo anatokea mtu anadai kuwa hakuna Mungu!!??.
Niingie kwenye mada, ni kwamba huna haja ya kuhoji juu ya hizo satellites (artificial), wewe kwanza fikiria juu ya mwezi ambao ni natursl satellite ya dunia, kitu ambacho mwezi unavyo behave kwa dunia ndivyo hivyohivyo artificial satellites zinavyo behave, kimsingi binadamu tumeiga sayansi ya Mungu kuhusu dunia na mwezi.
Kinachofanya mwezi siku zote uwe kando ya dunia licha ya dunia kukimbia katika kasi kubwa kiasi hicho kuzunguka jua ndiyo nguvu hiyohiyo inayozishikilia artificial satellites katika orbit zake nayo ni nguvu ya uvutano katika ya dunia na hizo satellites na ndiyo sababu hizo satellites na mwezi siku zote nazo huizunguka dunia ili kufanya nguvu ya uvutano iwiane na nguvu ya centrifugal.
Kwanini haziachani ni kwamba satellites zote zimo kwenye closed system moja na dunia. Mfano wake ni kama mtu uwemo ndani ya gari inayokwenda speed kubwa na wewe unakuwa katika kipindi hicho ni sehemu ya hilo gari na kama hakuna mtikisiko na hauta angalia nje basi huwezi kutambua kabisa kwamba gari hiyo inakimbia kwa speed kubwa kiasi hicho, na hii ndiyo hali tuliyonayo sisi tuliokuwa juu ya uso wa dunia kamwe hatuwezi kutambua/ kuhisi kwamba dunia inasafiri kwa (circular speed) kubwa kiasi hicho kwa sababu tumo ndani ya closed system na sisi tumekuwa kama ni srhemu ya dunia.
itakua ulitaka kum-qoute mtu mwingine ukaniqoute mimi