johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
CUF " Ngangari" ndio walikuwa wanampa Nondo Dr Slaa ili azimwage bungeni kwa sababu walikuwa hawamwamini KUB wao Hamad Rashid
Nasikia Dr Bashiru kachafua hali ya hewa huko CCM ila Sijui kaongea nini
Yote kwa Yote CUF Ngangari Ilikuwa noma ndio hawa akina Lwakatare wa Chadema
Ngoja nitafute hiyo clip ya Bashiru
Sabato njema!
Nasikia Dr Bashiru kachafua hali ya hewa huko CCM ila Sijui kaongea nini
Yote kwa Yote CUF Ngangari Ilikuwa noma ndio hawa akina Lwakatare wa Chadema
Ngoja nitafute hiyo clip ya Bashiru
Sabato njema!