johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Kiukweli hii kitu inaitwa Sukuma Gang haikuwa kitu halisi kwa sababu Shujaa Magufuli alikuwa ni Jeshi la Mtu mmoja aliyekamata mihimili yote mitatu.
Magufuli hakuwa na Wapambe ila Watu walijipendekeza Kwake ili wateuliwe na wengine walijipendekeza ili wasitumbuliwe.
Shujaa Magufuli aliweza kuwatumbua Rafiki zake wa karibu kabisa akina Kitwanga, Kichere, Kipilimba nk ndio Kusema yule Mwamba hakuamini Katika "Sisi" bali aliamini Katika "Mimi" kama ilivyo kwenye Biblia.
Nimshauri tu Dr Bashiru afanye kama anaomba radhi ili yaishe kwa sababu CCM siyo kama CUF ambayo maalim Seif alikuwa na Watu ambao leo Zitto Kabwe akipata msukosuko watamtetea kwa Nguvu zote kwa niaba ya Maalim Seif.
Mungu ni mwema Wakati wote!
Magufuli hakuwa na Wapambe ila Watu walijipendekeza Kwake ili wateuliwe na wengine walijipendekeza ili wasitumbuliwe.
Shujaa Magufuli aliweza kuwatumbua Rafiki zake wa karibu kabisa akina Kitwanga, Kichere, Kipilimba nk ndio Kusema yule Mwamba hakuamini Katika "Sisi" bali aliamini Katika "Mimi" kama ilivyo kwenye Biblia.
Nimshauri tu Dr Bashiru afanye kama anaomba radhi ili yaishe kwa sababu CCM siyo kama CUF ambayo maalim Seif alikuwa na Watu ambao leo Zitto Kabwe akipata msukosuko watamtetea kwa Nguvu zote kwa niaba ya Maalim Seif.
Mungu ni mwema Wakati wote!