swalehe shiza
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,616
- 2,386
Nyie ndio wale anawalishaga kila jumapili pale kwake MASAKI n kutoka n buku tano kama wale mateja pale Manyanya Kino...... DSM haimtaki huyo bi mdogo wa Kipara sema tu Kipara apindui mbele ya tak* lile la bashiteHakubaliki kwa wauza cocaine, bangi, mirungi nk lakini anakubalika kwa watu walio safi kama sisi.