Uri hehe??Hatumtakii, abaki huko huko
Sawa, kwa hiyo kazi ya makonda aliiomba kwa kutumia vyeti?,ili tuone hyo double standard. Jamani everyone is subjected to mistakes.Kukosea nimekosea ila sio kosa la kuniweka ndani.... sheria iko wazi wezi/wadanganyifu wa elimu wanatakiwa kua ndani! Kuna watumishi wamefukuzwa majuzi kosa ni hilo hilo.. Tusiwe na double standards
Balaa inataka iondolewe wewe unakomaa nayo!Alafu nani azibe hilo pengo? Usiturudishe nyuma ebooo.... Tuondolee balaa hapa...
Duh! Naona awamu hii mmeamua kufanya 'criminal offences laundering!'. Yaani kama mtu yuko katika nafasi ya kuteuliwa automatically tuhuma zake za kughushi zinakufa natural death?Sawa, kwa hiyo kazi ya makonda aliiomba kwa kutumia vyeti?,ili tuone hyo double standard. Jamani everyone is subjected to mistakes.
Mwenyewe anataka Dar. Angetaka Kigoma sekunde 1 nyingi, angepewa.Salute!
Nimekuwa nikisikia na kuwa Dar watu hawampendi mkuu wa Mkoa mchapakazi Makonda. Sasa nitoe ombi kwa mheshimiwa rais ampeleke Mkoa wetu ule ,akatusaidie kutatua kero na kusukuma maendeleo.
Halafu tuone huo msimamo alionao, ambao umewashinda wanaume wa Dar, akapambane na nguvu ya Ujiji na viunga vyake. Halafu inasemekana yeye ni jasiri atatufaa sana maana kule kuna watu wanaojiamini sijawahi kuona . Nataka kuiona nguvu halisi ya Kipenzi chetu huyu katika kuleta maendeleo.
Tanzania ni kubwa ila ina mipaka yake na mwisho wake. Karibu mtani, maana yule mtani aliyeko huko siku hizi simskii tena nasikia ni major general wa jeshi,spidi yake imepungua, sijui kwani.
Tulashashe Mtwale niwegeere.
Nawasilisha!
Hata kama hakuomba kwa kutumia vyeti, mtumishi wa uma kufoji cheti sio sawa! sheria ziko wazi kama mnaona mnampenda sana tubadili sheria, simpleSawa, kwa hiyo kazi ya makonda aliiomba kwa kutumia vyeti?,ili tuone hyo double standard. Jamani everyone is subjected to mistakes.
Sisi wana Dsm tatizo tulilo nalo kuhusu huyu Bwana ni vyeti. Hatutaki kuongozwa na mwizi wa vyeti. Akiweka vyeti mezani tu tutakuwa hatuna ugonvi naye.Salute!
Nimekuwa nikisikia na kuwa Dar watu hawampendi mkuu wa Mkoa mchapakazi Makonda. Sasa nitoe ombi kwa mheshimiwa rais ampeleke Mkoa wetu ule ,akatusaidie kutatua kero na kusukuma maendeleo.
Halafu tuone huo msimamo alionao, ambao umewashinda wanaume wa Dar, akapambane na nguvu ya Ujiji na viunga vyake. Halafu inasemekana yeye ni jasiri atatufaa sana maana kule kuna watu wanaojiamini sijawahi kuona . Nataka kuiona nguvu halisi ya Kipenzi chetu huyu katika kuleta maendeleo.
Tanzania ni kubwa ila ina mipaka yake na mwisho wake. Karibu mtani, maana yule mtani aliyeko huko siku hizi simskii tena nasikia ni major general wa jeshi,spidi yake imepungua, sijui kwani.
Tulashashe Mtwale niwegeere.
Nawasilisha!
Uliloko tsee? ulatweye kumtuka sowawe eshaa ,abhahungu bho miziminsi bhazenzela bha minduye inyo nikomuli. Nchu ndondelela ulakilonkwa , ejo uzasanga ugwile munyo nda kubhatitse .Gendu umusasili iwanyu, "ngo turashashe mtwale" umutwale wa nyoko siwuwachu.
Hakubaliki kwa wauza cocaine, bangi, mirungi nk lakini anakubalika kwa watu walio safi kama sisi.Makonda hawezi kukubalika popote pale dunia hii..
Labda Pluto.