Kama Dar es Salaam hawamtaki Paul Makonda, basi ahamishiwe Kigoma

DREAMBOY

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
2,117
1,369
Salute!
Nimekuwa nikisikia na kuwa Dar watu hawampendi mkuu wa Mkoa mchapakazi Makonda. Sasa nitoe ombi kwa mheshimiwa rais ampeleke Mkoa wetu ule ,akatusaidie kutatua kero na kusukuma maendeleo.

Halafu tuone huo msimamo alionao, ambao umewashinda wanaume wa Dar, akapambane na nguvu ya Ujiji na viunga vyake. Halafu inasemekana yeye ni jasiri atatufaa sana maana kule kuna watu wanaojiamini sijawahi kuona . Nataka kuiona nguvu halisi ya Kipenzi chetu huyu katika kuleta maendeleo.

Tanzania ni kubwa ila ina mipaka yake na mwisho wake. Karibu mtani, maana yule mtani aliyeko huko siku hizi simskii tena nasikia ni major general wa jeshi,spidi yake imepungua, sijui kwani.

Tulashashe Mtwale niwegeere.

Nawasilisha!
 
Salute!
Nimekuwa nikisikia na kuwa Dar watu hawampendi mkuu wa Mkoa mchapakazi Makonda. Sasa nitoe ombi kwa mheshimiwa rais ampeleke Mkoa wetu ule ,akatusaidie kutatua kero na kusukuma maendeleo.

Halafu tuone huo msimamo alionao, ambao umewashinda wanaume wa Dar, akapambane na nguvu ya Ujiji na viunga vyake. Halafu inasemekana yeye ni jasiri atatufaa sana maana kule kuna watu wanaojiamini sijawahi kuona . Nataka kuiona nguvu halisi ya Kipenzi chetu huyu katika kuleta maendeleo.

Tanzania ni kubwa ila ina mipaka yake na mwisho wake. Karibu mtani, maana yule mtani aliyeko huko siku hizi simskii tena nasikia ni major general wa jeshi,spidi yake imepungua, sijui kwani.

Tulashashe Mtwale niwegeere.

Nawasilisha!
Unaona Kigoma wanafaa kuongozwa na KKK? i.e Akili ndogo iongoze akili kubwa? Hatumtaki mtu kama Bashite. aende kwenye mashindano ya warembo.
 
Unaona Kigoma wanafaa kuongozwa na KKK? i.e Akili ndogo iongoze akili kubwa? Hatumtaki mtu kama Bashite. aende kwenye mashindano ya warembo.
Kwani huyo mlienae anafanya nini katika maendeleo ya kigoma?
 
Shida sio kupendwa, Tatizo huyo jamaa ni mhalifu, sheria zetu mtu aliyefoji cheti, Kuvamia vituo vya redio, anatakiwa kua jela sio ofisi ya uma!
 
Shida sio kupendwa, Tatizo huyo jamaa ni mhalifu, sheria zetu mtu aliyefoji cheti, Kuvamia vituo vya redio, anatakiwa kua jela sio ofisi ya uma!
hiv wew hujawahi kukosea jambo lolote?. Na upo uraini
 
hiv wew hujawahi kukosea jambo lolote?. Na upo uraini
Kukosea nimekosea ila sio kosa la kuniweka ndani.... sheria iko wazi wezi/wadanganyifu wa elimu wanatakiwa kua ndani! Kuna watumishi wamefukuzwa majuzi kosa ni hilo hilo.. Tusiwe na double standards
 
Back
Top Bottom