Kapilipoint
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 381
- 343
Wakati Wa kuiua Chadema ulikuwa wakati Wa kupiga KURA KUKUBALI au kukata Mfumo Wa vyama VINGI au kimoja.Kama CCM ilishindwa kipindi Kile na 20% wakashinda hebu jiulize kwanini 20% washinde? CCM haina uwezo Wa kuua upinzani .