Kama CCM inataka kushinda uchaguzi kabla ya kupiga kura, Magufuli ndiyo mtu sahihi


Unless wewe ni 'little puppy' umezaliwa juzi hujui nini kinaendelea kwenye siasa za nchi hii...haikuwahi kutokea kwenye historia (toka mwanzo wa vyama vingi) kukawa na chaguzi bila makundi. Lowassa atachinjiwa baharini (kama alivyofanywa kwenye uwaziri mkuu) na hawezi kufanya lolote.
 
Last edited by a moderator:
Hapo pa kuchinjiwa baharini ndipo tunapaombea wapenda amani
 

I honestly love your way of thinking.
 
Magufuli anafaa, tatizo lipo kwenye kukubali kuwa atalinda maslahi ya wakubwa zake waliotangulia. Hapo jamaa hawamuamini.

Uwezekano wa Magufuli kuwageuka ni mdogo ukilinganisha na uwezekano wa UKAWA kuwafilisi (endapo CCM watamuweka mgombea mwingine atakayesababishia CCM kuanguka).
Upinzani wakichukua nchi ni wazi kabisa makada wote wa ccm waanze kuhamishia nyumbazao na fixed assets nche ya nchi...
So kama CCM ni rational thinkers, watamchagua Magufuli
 
Kutafuta mgombea msafi ndani ya ccm ni sawa kutafuta mwanamke bikra kwenye wodi ya wazazi .
kwenye familia ya majambazi hakuna mwenye afadhali wote ni wezi.

Sijawai kukusikia ukiulizia majibu ya ufisadi wa chadema uliofukuliwa na report ya CAG
 

YES! UKAWA sio chaguo sahihi kwa CCM, lakini ukweli kwamba hata kati yao hofu ya kumuweka atakayekuwa ni winning candidate itategemea sana uwezekano wa candidate huyo kuwa mtu anae tabirika hasa kwenye kulinda mali na maisha ya wakubwa waliopo madarakani sasa. Magufuli is a presidential material, but likely unpredictable.
 

Makundi yalianza 1995 ndio maana Nyerere alipompendekeza Mkapa aliamua kuingia kwenye kampeni mzima mzima, na lile kundi lililoshindwa ndio lililo ingia 2005 na ndilo linautaka uraisi mwaka huu. Believe me Lowasa hazuiliki ingawa sio mimi shabiki wake
 
Mungu amesikia dua zangu na amewaongoza viongozi wangumkufanya maamuzi
 
Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kujaalia kutimia kile nilichokifikiria
 
Kazuilika sasa. Waseme kingine
 
😄😄😄👍👍👍
 
Magufuli naaamini ni raisi pekee mwenye sifa kati ya hawa.
Tanzania kuongozwa na hawa wadada ni ngumu

Raisi kikwete akitaka ccm ishuke ikose matarajio yapotee wamuweke mwana mama hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…