Mabibi na mabwana kwa takwimu zilizopo na yale tuliyopata kuyasikia tokea kwa watendaji wake wakuu, CCM 2015 - 2021 ndicho kipindi chama hicho kilikuwa na mafanikio makubwa zaidi katika historia yake. Ilisemekana kuwa katika kipindi hicho, chama hiki kilishamiri vilivyo.
Ya kuwa katika kipindi hicho CCM:
1. Ilipata ushindi wa kishindo (takribani wa 100%) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita.
2. Ilipata ushindi wa kishindo (takribani wa 100%) kwenye uchaguzi mkuu uliopita.
3. Leo hii bunge la JMT, takribani 100% ya wabunge wote ni wa CCM.
4. Imevuna wabunge na madiwani wengi zaidi waliopita bila ya kupingwa kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi hii.
5. Nk, nk.
Hivi, iweje basi pamoja na mafanikio makubwa haya (kama ni kweli), watendaji wake wakuu wakiwamo mh. Dr. Bashiru Kakurwa na bwana Humphrey Polepole watoswe kwenye nafasi zao kivile?
Ina maana CCM wameshiba sasa kushinda?
Hii shindaji ya vishindo inayoambatana na sambaratishaji ya watendaji washindaji mubashara imekaa je?
Au ni kweli kuwa kila yang'aayo siyo dhahabu?
Ninawasilisha
Ya kuwa katika kipindi hicho CCM:
1. Ilipata ushindi wa kishindo (takribani wa 100%) kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita.
2. Ilipata ushindi wa kishindo (takribani wa 100%) kwenye uchaguzi mkuu uliopita.
3. Leo hii bunge la JMT, takribani 100% ya wabunge wote ni wa CCM.
4. Imevuna wabunge na madiwani wengi zaidi waliopita bila ya kupingwa kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi hii.
5. Nk, nk.
Hivi, iweje basi pamoja na mafanikio makubwa haya (kama ni kweli), watendaji wake wakuu wakiwamo mh. Dr. Bashiru Kakurwa na bwana Humphrey Polepole watoswe kwenye nafasi zao kivile?
Ina maana CCM wameshiba sasa kushinda?
Hii shindaji ya vishindo inayoambatana na sambaratishaji ya watendaji washindaji mubashara imekaa je?
Au ni kweli kuwa kila yang'aayo siyo dhahabu?
Ninawasilisha