Kama Beyonce...

Kama Beyonce...

Kuna watu wakijifungia chumbani wanakuwa hivi.
 
Huyu jamaa ukimuangalia vizuri anafanana na jamaa yangu THE BIG SHOW.king of network.

Swissme
 
katika vyote nimependa mguu wa kati unavyotetemeka
 
Kwa huyo miss unajitafutia ugonjwa wa moyo.Nakusii jiondoe haraka kabla haujafilisika😀

Na tayari umenianza yaani hapa mapigo yanaenda kasi Honey Faith.. Naona kwa usalama wa kila mmoja ngoja nikasalimishe bastola yangu kituo cha polisi lol..

speakcable

Noti inafu hiyo miss chagga.. Utasababisha gharika..

katika vyote nimependa mguu wa kati unavyotetemeka

Ha ha ha ha.. Ticha gfsonwin unasemaje..? Unamaanisha huo wa mtoto au..?

Ulianza mie namaliza......
Honey Faith naamini wewe ni timu yangu kwa asilimia mia.. miss chagga akimwaga mboga wewe mwaga ugali..
 
Last edited by a moderator:
Na tayari umenianza yaani hapa mapigo yanaenda kasi Honey Faith.. Naona kwa usalama wa kila mmoja ngoja nikasalimishe bastola yangu kituo cha polisi lol..



Noti inafu hiyo miss chagga.. Utasababisha gharika..



Ha ha ha ha.. Ticha gfsonwin unasemaje..? Unamaanisha huo wa mtoto au..?


Honey Faith naamini wewe ni timu yangu kwa asilimia mia.. miss chagga akimwaga mboga wewe mwaga ugali..

ananijua amwage aone
 
.

Yaani ticha umenifanya nimecheka hapa mpaka nimeulizwa nacheka nini.. Inawezekana watoto wa kike wamepata mstuko wa ziada hapo kati lol..
sio kwamba wanapata mstuko hapana
hapo kati panatekenya ujue ...................
 
Back
Top Bottom