WAKO WAPI WATU WAKO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 2,356
- 3,114
Kijijini tunasingiziana uchawi tu, Fulani kamroga Fulani..kumbe Dengue..Dah!
Dunia hii...utadhani huu ugonjwa umekuja kumkomoa!
Nawaza kwa sauti kama umeua familia zinazojiweza hivi huku kwetu tutapona kweli?