Kalonzo Musyoka aijia juu Synovate

kapotolo

JF-Expert Member
Sep 19, 2010
3,727
2,213
Makamu wa rais wa kenya Kalonzo Musyoka amezijia juu taasisi zinazofanya opinion polls na kusema ni wachochezi na kuitaja Synovate kama mojawapo ya taasisi hizo.

Alisema haiwezekani mtu anakusanya watu 15 sehemu anawauliza maoni yao halafu ana-generalize kwamba hayo ni maoni ya wakenya wote.

Amesema si kweli kwamba tafiti hizo ni za kisayansi, na ametaka kuwepo kwa sheria za kuzibana hizi taasisi kwani zinaweza kuhatarisha umoja na amani ya nchi.

Source: KBC1 Habari.

I think he has a point, hizi taasisi zichunguzwe, wanafanya utafiti wa kupatia funds na si kusaidia nchi.
 
Makamu wa rais wa kenya Kalonzo Musyoka amezijia juu taasisi zinazofanya opinion polls na kusema ni wachochezi na kuitaja Synovate kama mojawapo ya taasisi hizo.

Alisema haiwezekani mtu anakusanya watu 15 sehemu anawauliza maoni yao halafu ana-generalize kwamba hayo ni maoni ya wakenya wote.

Amesema si kweli kwamba tafiti hizo ni za kisayansi, na ametaka kuwepo kwa sheria za kuzibana hizi taasisi kwani zinaweza kuhatarisha umoja na amani ya nchi.

Source: KBC1 Habari.

I think he has a point, hizi taasisi zichunguzwe, wanafanya utafiti wa kupatia funds na si kusaidia nchi.

hivi, Redet huwa wanafanya opinion polls nchi zingine pia, tofauti na Danganyika?
 
Kama kawa kwa watawala wetu! They always want something that favors them, disfavoring their political ambitions ni kuhatarisha amani na umoja wa taifa! Kweli tuna kazi Africa kujikwamua hapa tulipo. Laiti hizo kura za maoni zingeonyesha vice-versa tungemsikia akijipigia chapuo na kundi lake la KKk-alliance!
 
Kama kawa kwa watawala wetu! They always want something that favors them, disfavoring their political ambitions ni kuhatarisha amani na umoja wa taifa! Kweli tuna kazi Africa kujikwamua hapa tulipo. Laiti hizo kura za maoni zingeonyesha vice-versa tungemsikia akijipigia chapuo na kundi lake la KKk-alliance!

You also have a point
 
Back
Top Bottom