Habari zenu wakuu! Naomba kutengeneza hii thread maalum kwa ajil ya hii operating system, mim nimeanza kuitumia siku chache zilizopita lakini nilichokuja kuipendea mbali na kuwepo kwa tools nyingi za penetrations testing (hacking), lakini intrested things ni kuwa inakuja na prog nying built in ka VLC, na drivers za wireless. N.k
Karibun wadau tuizungumzie...
Kali Linux (formerly known as BackTrack) is a Debian-based distribution with a collection of security and forensics tools. It features timely security updates, support for the ARM architecture, a choice of four popular desktop environments, and seamless upgrades to newer versions.
Mwenyewe nice install ni nzuri ila shida huwezi kuinstall program nyingi za windows. Naitumia Linux ila si hii Kali Linux hivyo sinauhakika kama inatofauti.
.Kuna Linux inaitwa OpenSUSE, hii kuna program moja inakuruhusu kuinstall Windows OS ndani ya OpenSUSE. Kwa maana hiyo ukitaka kutumia program za windows unachepuka ndani kwa ndani unafungua Windows OS unaendelea kutumia, the same time unatumia na OpenSUSE. Kitu kimoja naipenda Linux ni kutoshambuliwa na virus.
.
Zina hitaji PC yako iwe na space ya kutosha
Mi natumia VMware Player ni virtual machine nzuri sana! Natumia kwenye mambo ya ajabu ajabu
Yaani ni unatumia another OS kwenye OS nyingine!
.
Unaweza kutumia Windows XP kwenye 8 au hata 7
.
.
.Mkuu CodeR hebu nisaidie nikipata hiyo Vmware Player na maelezo yake hadi najua na uwezo wa kutumia windows nikiwa kwenye Linux. Nimejaribu Virtual box wapi nimeshindwa
.
Kaka mi naona cha msini ni ku run apps tu za windows! Kwenye linux hiyo Vm prayes sijatumia kwenye linux
ila kuna hawa jamaa codeweavers wame release virsion ya 13 sema wanataka hela! Jipange mana kuna free sijui ya siku ngapi!
.
Ingia hapa
Run Windows on Mac and Linux, easily and affordably
UBUNTU NAIONA KAMA SI USER FRIENDLY KAMA LINUX. Mie space ninayo
ubuntu ni linux kijana, linux ina distribution nyingi sana like opensuse, fedora, ubuntu, linux mint etc, know that linux ni just kernel. Unaweza install ubuntu halafu ukaweka desktop manager nyingine like xfce, kde, gnome shell, cinnamon and more ambazo zitakupa interface unayoitaka
Sent from my Nokia Lumia
mie nilianza na zorin os nikaja ubuntu nikaenda linux mint sasa nimerudi zangu ubuntu linux zipo bomba sana..Mimi napendekeza iwepo Official Thread ya Linux ili mtu atakayetaka kujua kitu chochote kuhusu Linux anakwenda huko. Watu wengi wanasema OS za Linux ni ngumu, hii inatokana na ufahamu mdogo kuhusu Linux.
aisee naomba unielekeze nitaipataje jf kwenye tapatalkubuntu ni linux kijana, linux ina distribution nyingi sana like opensuse, fedora, ubuntu, linux mint etc, know that linux ni just kernel. Unaweza install ubuntu halafu ukaweka desktop manager nyingine like xfce, kde, gnome shell, cinnamon and more ambazo zitakupa interface unayoitaka
Sent from my Nokia Lumia