Kalenga wamlilia zitto kabwe

Kalenga wamlilia zitto kabwe

Status
Not open for further replies.
Machadema lazima yachanganyikiwe yakisikia jina la zitto, mana siku hizi yanahutubia watoto
wewe hukuutubiwa ukiwa mtoto ndo umechelewa na akili zako zimedumaa! tunaandaa kizazi chenye nguvu cha miaka ya baadae!
 
ifweero wana Kalenga bado hawajamlilia pia Mwakilishi wa zamani wa Kiembe-Samaki Mheshimiwa Himid Mansoor?
 
Last edited by a moderator:
Lema ahutubia watoto kalenga... Whats your comment abt this?
elfu saba wakizidisha mara mbili wanakudooooo............lema anaanda kizazi chenye nguvu cha baadae! we kuhutubiwa umekuja kujua ukubwani baada ya ccm kuja kijijini kwenu kwa kuogopa kuangushwa na chadema! tunaandaa kizazi chenye akili na uchungu na maisha yao kitakachokuwa na nguvu miaka mia mbele baada ya nyie mb..wa kufa na akili zenu zilizoganda! hivi kwa nini EBOLA ISIWAPITIE?
 
@Ifweelo kama Mbowe na Slaa wanamwogopa, mbona anabebwa na MaCCM??
Zito ni msukule wa MaCCM, watamtumia mwisho watamtema, mbunge wa mahakama!!
Mpeni pole kikaragosi wa MaCCM!!
 
Haaaaaaaa. Zito ni mtu ambae akiongea kila mtu anamsikiliza na atawatesa sana tunasubiri tukipata usajili wa kudumu tu namini ataachana na maswala ya ubunge wenu na
 
Unanikumbusha jinsi slaa alivyozomewa na kupigwa na mayai viza kadulu na kigoma halafu zitto akaenda kupokelewa kishujaa huku gari yake ikizimwa na kusukumwa
 
Ni sahihi kwa sababu marehemu lazima aliliwe ati!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom