Kalenga wamlilia zitto kabwe

Kalenga wamlilia zitto kabwe

Status
Not open for further replies.
Zitto sio habari tena.. ni kama kondomu iliyokwishakutumika na sasa iko jalalani. Pole zake kwa kukubali kuolewa na Mwigulu Nchemba.
 
Simama na miguu yako, usitumikishwe na kina slaa na genge lake. Utakufa maskini huku wao wakigawana ruzuku ya chama

utakufa maskini wewe na dhiki zako za kuamka asbuhi asbuhi unawaza kalenga tu. unafikiri wote majuha kama wewe mnaopelekeshwa na wana siasa. by the way hivi do u have other life apart from ushabiki wa kisiasa?!
 
Zitto sio habari tena.. ni kama kondomu iliyokwishakutumika na sasa iko jalalani. Pole zake kwa kukubali kuolewa na Mwigulu Nchemba.
Zitto ni dhahabu kwa wenye akili timamu. Ni kondomu kwa wenye mtindio wa ubongo
 
utakufa maskini wewe na dhiki zako za kuamka asbuhi asbuhi unawaza kalenga tu. unafikiri wote majuha kama wewe mnaopelekeshwa na wana siasa. by the way hivi do u have other life apart from ushabiki wa kisiasa?!
I dont have enough time to waste discussing with an idiot. Ndio tabu zenu vibaraka
 
Zitto kafa kifo kibaya sana, mdomo wazi!! "kisiasa" Lazima aliliwe kwakuwa anakwenda Kwa shetani motoni (CCM).
 
zito kabwe anapendwa sana na watanzania wote. wanaomchukia zito ni mataahira na wachawi tu. tanzania inahitaji kiongozi msomi na mzalendo kama zito kabwe . zito kabwe ni hazina ya nchi., ni rasilimali muhimu ya nchi zaidi ya madini na gesi.

Una uhakika zito ni zaidi ya madini na gesi?kwa hiyo ukiona dhahabu ya pesa ndefu halafu pembeni yuko zito utamchukua zito?
 
Machadema lazima yachanganyikiwe yakisikia jina la zitto, mana siku hizi yanahutubia watoto
 
zito kabwe anapendwa sana na watanzania wote. wanaomchukia zito ni mataahira na wachawi tu. tanzania inahitaji kiongozi msomi na mzalendo kama zito kabwe . zito kabwe ni hazina ya nchi., ni rasilimali muhimu ya nchi zaidi ya madini na gesi.
Watu kama kinha Zitto Rwanda wanafanywaje? hatumuhitaji mtu wa aina yake!
 
Achane mawazo finyu Zito halingani na yoyote hapa kwa nguvu za kisiasa kama amekufa basi nyie mmeoza
 
Nguvu na uwezo wa zitto kisiasa hapa nchini ni zaidi ya machadema, si mbowe wala slaa ambao ni mabwana zako wanamhofia vibaya mno, sembuse wewe kibaraka.

zito ni bwana yako wewe na wenzako wengi tu ndiyo maana una shinda ukimtetea mtandaoni,kapokee buku 7
 
KALENGA WAMLILIA ZITTO KABWE:::
Wananchi wa Kalenga wamemuuliza mgombea ubunge jimbo la Kalenga kwa nini Kamati Kuu ya Chadema ilifanya maamuzi dhidi ya Zitto kinyume na Katiba ya Chadema. Wananchi hao wamemwambia Mgombea huyo kuwa Zitto aliyekuwa Naibu Katibu angejadiliwa na Baraza Kuu kwani Naibu Katibu anatokana na Baraza Kuu.Hivyo Wananchi wamesema kuwa Zitto Kabwe alionewa na pia Katiba ya Chadema ilikiukwa kwa Maslahi ya Mbowe eendelehe kuwa Mwenyekiti wa Kifalme wa Chadema.Mgombea Ubunge huyo amewajibu na kusema suala la Zitto bado liko Mahakamani.Wananchi wa Kalenga wakaonyesha msimamo wa kutokuichagua Chadema mpaka wamemuone Zitto anafika Kalenga.

Mkuu upuuzi wa kuni add kwenye magroup yenu ya kijinga kule Facebook uache. SITAKI.
 
"ZITTO" A forgotten story. Kalenga hakuna hata anayefikiria hilo, ilke ifweero na udaku wake. Watu wa Kalenga wanatafakari lindi la umaskini lililosababishwa na utawala mbovu wa CCM wa miaka 50 na kuwa kwao sasa yatosha!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom