Wakati harakati za kujaza nafasi iliyoachwa wazi na mgimwa. Jimbo la kalenga linaleta mfanano kama arumeru mashariki. Anaegombea kupitia nyinyiem ni mtoto wa mtangulizi wake ambae ni baba yake mzazi. Hajui kiswahili vzr km alivokua sioi sumari babayake alikuwa waziri wa fedhs km mgimwa.wanataka kurithishana jimbo km utawala wa kifalmena matokeo yatafanana km yalivokua arumeru.