<br />Wakuu kwa mwenye ufahamu anisaidie.nimenunua kalamu yenye camera,video,audio na flash.haina manual.naambiwa yaweza record sauti,video,picha za kawaida.ila nimeweza kupiga picha tu na nimeziona kwenye computer.sasa vipi kuhusu kurekodi,na video? Naulizia
hizo kwa wanausalama ama waandishi mwake unamchukua maelezo hadi sura mtu bila yeye kujua