Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Hoja gani? Nauliza kwa maandishi, hoja gani?Wewe ni mbumbumbu huwezi kuelewa chochote sana sana utanisababishia BAN za bure kumbe uelewa wako ni mdogo.Badala ya kujibu hoja za Askofu Kakobe umekomaa kujua nimejiunga lini JF,Kama una ubavu jibuni hoja zake siyo kuanza ku-attack watu ovyo!!!
Kusema ana pesa ndo hoja?