Kakobe Askofu Mkuu wa kudumu FGBF

Kakobe Askofu Mkuu wa kudumu FGBF

hao wengine wakitaka kuwa askofuu mkuu wakafungue makanisa yao lile nila kakobe akifa na huduma yake imekwisha
pole sana,kama jambo hulijui ni vizuri ukakaa kimya,kuropoka namna hii unajichumia laana ya bure.
 
hao wengine wakitaka kuwa askofuu mkuu wakafungue makanisa yao lile nila kakobe akifa na huduma yake imekwisha

Askofu Kakobe amewahi kusema kwamba "Waumini wake hata miaka mia ijayo hawataiacha Imani yake".
th
BISHOP ZACHARYBISHOP ZACHARY KAKOBE, WITH INTERNATIONAL WORSHIP LEADERS KAKOBE, WITH INTERNATIONAL WORSHIP LEADERS
 
La muhimu Mheshimiwa akatubu na kugeuka asisubiri ghadhabu ya Mungu.
 
Unanilulza mimi ili iweje. Sikiliza mwenyewe! Au bado hujamsikiliza na unajadili JF?
Tatizo lako umekunywa maji ya Bendera hata hujitambui unaimba wimbo usioujua wa kusifia tu!!Badala ya kujibu hoja za Kakobe mmeshaanza kubwabwaja kama misukule!!!Kazi kwenu yeye katoa hoja moja tu LUMUMBA yote wametikisika na kukosa majibu!!!!Fikiria je akitoa nyingine mtaanza kuuliza uraia wake!!!!
 
Tatizo lako umekunywa maji ya Bendera hata hujitambui unaimba wimbo usioujua wa kusifia tu!!Badala ya kujibu hoja za Kakobe mmeshaanza kubwabwaja kama misukule!!!Kazi kwenu yeye katoa hoja moja tu LUMUMBA yote wametikisika na kukosa majibu!!!!Fikiria je akitoa nyingine mtaanza kuuliza uraia wake!!!!
Ndo uzuri wa anonymity. unapoanza kwa kumsifia Kakobe, hata kama ungekuwa na elimu ya chuo kikuu nitakuona kama uliyepoteza muda. Nakupa ushauri wangu nilioutoa kwa mbumbumbu mwenzako.

Kama una digrii, na kama ulisoma kwa mkopo basi elewa kwamba hilo ni deni bila faida maana uelewa wako unamtegemea Kakobe.
 
Ndo uzuri wa anonymity. unapoanza kwa kumsifia Kakobe, hata kama ungekuwa na elimu ya chuo kikuu nitakuona kama uliyepoteza muda. Nakupa ushauri wangu nilioutoa kwa mbumbumbu mwenzako.

Kama una digrii, na kama ulisoma kwa mkopo basi elewa kwamba hilo ni deni bila faida maana uelewa wako unamtegemea Kakobe.

Ndiyo maana mimi siwezi kuwa ccm hata siku moja maana walioko huko n kama Mazezeta akili ya kushikishwa .Mimi nimesema Askofu Kakobe ametoa hoja basi njooni mjibu hoja zake siyo kubwabwaja ovyoovyo kama wewe unavyofanya!!!
 
Ndiyo maana mimi siwezi kuwa ccm hata siku moja maana walioko huko n kama Mazezeta akili ya kushikishwa .Mimi nimesema Askofu Kakobe ametoa hoja basi njooni mjibu hoja zake siyo kubwabwaja ovyoovyo kama wewe unavyofanya!!!
Kinachonishangaza umejoin 2007. Kwa miaka yote hiyo, kwa nini hujajiongeza ufahamu? Unavyoandika ni kama unaataraji kujiunga na kidato cha kwanza! Mjadala wa Kakobe na upuuzi wake unaiweka CCM, unatukana ukiamini ndo point, Unaona hoja ya Kakobe wakati haionekani. Hoja ni ipi? Naomba uitaje hiyo hoja ya Kakobe.

btw. mbona unaandika Kakobe ni askofu? Neno askofu unalianza kwa herufi kubwa, ndo uaminifu?
 
FISIEM mmepagawa mko makabulini mnafukua makabuli ya 11-7-2011.
Nendeni na mv bukoba uko sawa.
Mtu chake,anzisha n ww lako sw
 
Kinachonishangaza umejoin 2007. Kwa miaka yote hiyo, kwa nini hujajiongeza ufahamu? Unavyoandika ni kama unaataraji kujiunga na kidato cha kwanza! Mjadala wa Kakobe na upuuzi wake unaiweka CCM, unatukana ukiamini ndo point, Unaona hoja ya Kakobe wakati haionekani. Hoja ni ipi? Naomba uitaje hiyo hoja ya Kakobe.

btw. mbona unaandika Kakobe ni askofu? Neno askofu unalianza kwa herufi kubwa, ndo uaminifu?
Wewe ni mbumbumbu huwezi kuelewa chochote sana sana utanisababishia BAN za bure kumbe uelewa wako ni mdogo.Badala ya kujibu hoja za Askofu Kakobe umekomaa kujua nimejiunga lini JF,Kama una ubavu jibuni hoja zake siyo kuanza ku-attack watu ovyo!!!
 
Huwezi kuwadanganya watu wote wakati wote. Kuna siku waumini wake watadai uhuru na demokrasia katika kanisa lao, maana kanisa lao viongozi wanachaguliwa na sio kuteuliwa. Haiwezekani wachungaji???/maaskofu??? wote wakawa hawataki ulaji!!!!!!!!! Nani asiye na watoto, mke/wake??? ambao wanataka matunzo, elimu etc, nani asiyetaka kujenga nyumba kwa familia yake baadaye waachie watoto in case etc. Kuna siku watadai demokrasia.
Unafikiri kanisa ni chama cha siasa?
 
Kumbe kanisa huwa ni mali ya mtu sio mali ya wanayomuabudu
Wasemavyo wengi watu ni wajenzi na wasimamizi tu wa hiyo nyumba ya ibada yaani kanisa.
Vipi nyumba ya ibada iwe mali ya mtu hata kama kaijenga.
 
Back
Top Bottom